username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
- #421
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni hapa?
Nipe feedbackKumbe ni hapa?
Nilipita hapo juzi Jumatano
Karibu tena.Kumbe ni hapa?
Nilipita hapo juzi Jumatano
picha hizo hapo panaitwa Runway pub kinyerezi mahakamani road.Siutaje inaitwaje,piga na picha tuione na ikibidi na picha ya muhudumu mmoja ambaye tutapata maono ya wenzake
PoaKaribu tena.
Ni pazuri sana.Nipe feedback
Umepaonaje
Wazungu mkuuMkuu,tumeshazileta tangu jana usiku.
Zipo za kutosha ,karibu sana.
Nishafika Hapo,Huduma Nzuri,Kwenye Chakula Angalia namna Utapatie Supusupu...Karibu Runway pub
Tafuta mizigo yenye misambwanda afu kite Mata ko bar.twajaNaombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Jana tulikiwasha sana kwenye Karaoke
Asante sana mkuu .Pako vizuriii mkuuu kibongo bongo umejitahidiii
Sawa mkuuTafuta mizigo yenye misambwanda afu kite Mata ko bar.twaja
Sawa mkuu tutalifanyia kaziNishafika Hapo,Huduma Nzuri,Kwenye Chakula Angalia namna Utapatie Supusupu...
Asante mkuu kwa pongeziNi pazuri sana.
Duuuh nitakuja next weekendJana tulikiwasha sana kwenye Karaoke