username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
- #401
Sawa kaka, Pub yetu bado ni mpya kwenye makosa ninaomba utusameheAsante
.
Kuna mengi mazuri yanakuja .
ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kaka, Pub yetu bado ni mpya kwenye makosa ninaomba utusameheAsante
Naelewa mkuu. Nilikuwa mdau since enzi za yule sista.Sawa kaka, Pub yetu bado ni mpya kwenye makosa ninaomba utusamehe
.
Kuna mengi mazuri yanakuja .
ππππ
π₯π₯π₯π₯π₯Sasa mbona nimefika na hakuna Smirnoff Ice mkuu? Fanya uweke tafadhali.
Jikoni mko vizuri mkuu
View attachment 3092736
Anaitwa Irene.Naelewa mkuu. Nilikuwa mdau since enzi za yule sista.
Weka picha sasaTupo live
Kila jumapili kuanzia saa 11 na kuendelea karaoke π₯π₯π₯π₯njoeni tuimbe.
Sawa Mkuu. πππKila jumapili kuanzia saa 11 na kuendelea karaoke π₯π₯π₯π₯njoeni tuimbe.
karibu sanaSawa Mkuu. πππ
asante karibuHongera
Mkuu ukizileta niambie mkuu nimezikosa na leoSawa kaka, Asante pia .Kesho kuanzia saa6 mchana zitawepo.
Karibu sana
Mkuu ukizileta niambie mkuu nimezikosa na leo
Sawa mkuuMkuu ukizileta niambie mkuu nimezikosa na leo
hilo haliwezekani.Tenga Meza moja Ipe Jina la JF ili kila mwana jf afikie hapo ktk hiyo Meza na hakuna kuulizana username ni kunywa na kuchorana tu ....
Mkuu,tumeshazileta tangu jana usiku.Mkuu ukizileta niambie mkuu nimezikosa na leo
Karibu Runway pubNiambie