Jessy2
Member
- Sep 18, 2023
- 56
- 107
- Thread starter
- #21
Mm Sina shida na watt wake kunifu
Ata mm, m nachotaka tu niwe na Ile freedom of worship bhc...na stk nifanye kwa kujifichaMimi sioni tatizo kwa vile kwa Tz hasusani mila zetu mke anamfuata mume ...Mnaweza kufunga kwa upande wa mume ila bado wote ni wakristo na kila mtu atafuate dhehebu lake baada ya hapo..
Ila tambua watoto watafuate kwa baba.