Naombeni ushauri kuhusu kubadili dhehebu ili kufunga ndoa

Naombeni ushauri kuhusu kubadili dhehebu ili kufunga ndoa

sema na yy ndo anaona kuingia kanisa la Roma ni Kama dhambi jmn
Ndo ujue kwamba ni mbinafsi.
Mbona wewe hujaona kuingia kanisa la wasabato ni dhambi?

Mwambie kwamba hata kuoa mkatoliki ni dhambi akaoe msabato mwenzake. Ila ndo hivyo huwezi kumwambia..
Najua utaishia kuwa msabato kwa mapenzi uliyo nayo juu yake. Hapa tunapoteza muda kukushauri.
 
Achaneni na itikadi kwani ni mtazamo wa mtu binasi hauna athari kwa mwingine...Itikadi inabaki kwako kama unaona sawa ila sio lazima mwingine aifuate.

Mimi binafsi wale kumbikumbi sili hata wapikwe vip ,ila siwezi kumkataza hata mtoto wangu asile ni yeye tu.
Mm Sina haja na yy kunifuata na stk ivyo ninachotaka kila mtu asali kivyake bhc
 
Habari zenu wapendwa.

Mimi ni binti wa miaka 24. Niko kwenye mahusiano na mchumba wangu ni miaka 6 Sasa tunaenda na ninampenda Sana mwanaume wangu.

Shida ya kuja hapa naombeni ushauri anataka kunioa ila changamoto inakuja upande wa dhehebu kwenye kubadili mimi napata ukakasi sana sijui kwanini, mimi ni mkatoliki pure na yeye ni msabato pure(kurya) mm sijawai dharau Imani yake ni vile tu nimelelewa kwenye misingi ya dini yangu. Anachotaka yeye ni ndoa ya kanisani na mm napata ugumu kubadili.

Nimejaribu kumshauri tufunge ya Serikali na watoto watakufata yeye lkn hatqki anataka ya kanisani. Mimi moyo wangu umekuwa mzito sijui kwanini na najiona sina amani kwenye huu uamuzi ambao nitafanya kumridhisha yeye sababu nampenda.

Nifanyeje🥺

Ndoa ili iwe na furaha itahitaji mambo makuu matatu
1. Upendo
2. Akili. Kuelewana. Hekima na busara.
3. Imani.
Hayo mambo matatu lazima mfananane. Ili muweze kuishi kwa furaha na kulea watoto wenu wawe kizazi Bora.

Kikipungua chochote hapo ni bora kuachana mapema.

Hakunaga ndoa ya serikali. Kama kila mmoja hataki kuamini imani ya mwenzake tafsiri yake hapo hakuna familia itakayoanzishwa.
 
Habari zenu wapendwa.

Mimi ni binti wa miaka 24. Niko kwenye mahusiano na mchumba wangu ni miaka 6 Sasa tunaenda na ninampenda Sana mwanaume wangu.

Shida ya kuja hapa naombeni ushauri anataka kunioa ila changamoto inakuja upande wa dhehebu kwenye kubadili mimi napata ukakasi sana sijui kwanini, mimi ni mkatoliki pure na yeye ni msabato pure(kurya) mm sijawai dharau Imani yake ni vile tu nimelelewa kwenye misingi ya dini yangu. Anachotaka yeye ni ndoa ya kanisani na mm napata ugumu kubadili.

Nimejaribu kumshauri tufunge ya Serikali na watoto watakufata yeye lkn hatqki anataka ya kanisani. Mimi moyo wangu umekuwa mzito sijui kwanini na najiona sina amani kwenye huu uamuzi ambao nitafanya kumridhisha yeye sababu nampenda.

Nifanyeje[emoji3064]
Sikushauri ufunge ya serikali,utawatesa sana watoto watashindwa wafate Dini ipi,ya baba au ya mama.

Ushauri wangu,sioni shida wewe kuwa msabato kama kweli unampenda mchumba wako,sioni ugumu hapo kwa sababu wote ni waabudu Kristu.
 
Ndoa ili iwe na furaha itahitaji mambo makuu matatu
1. Upendo
2. Akili. Kuelewana. Hekima na busara.
3. Imani.
Hayo mambo matatu lazima mfananane. Ili muweze kuishi kwa furaha na kulea watoto wenu wawe kizazi Bora.

Kikipungua chochote hapo ni bora kuachana mapema.

Hakunaga ndoa ya serikali. Kama kila mmoja hataki kuamini imani ya mwenzake tafsiri yake hapo hakuna familia itakayoanzishwa.
Duh🥺
 
Habari zenu wapendwa.

Mimi ni binti wa miaka 24. Niko kwenye mahusiano na mchumba wangu ni miaka 6 Sasa tunaenda na ninampenda Sana mwanaume wangu.

Shida ya kuja hapa naombeni ushauri anataka kunioa ila changamoto inakuja upande wa dhehebu kwenye kubadili mimi napata ukakasi sana sijui kwanini, mimi ni mkatoliki pure na yeye ni msabato pure(kurya) mm sijawai dharau Imani yake ni vile tu nimelelewa kwenye misingi ya dini yangu. Anachotaka yeye ni ndoa ya kanisani na mm napata ugumu kubadili.

Nimejaribu kumshauri tufunge ya Serikali na watoto watakufata yeye lkn hatqki anataka ya kanisani. Mimi moyo wangu umekuwa mzito sijui kwanini na najiona sina amani kwenye huu uamuzi ambao nitafanya kumridhisha yeye sababu nampenda.

Nifanyeje🥺
Kwa ufupi kabisa na kwa msisitizo.
Ni wanaume wachache sana wanakubaliana na takwa lako. Yaani wewe uanze kum-control mumeo mapema tu hivyo? Yeye kapanga kufunga ndoa ya kanisani, wewe unataka umbadilishie utaratibu wake mfunge ndoa ya serikali. Sasa nani kichwa cha familia yenu? Ni wewe au mumeo? Unaelewa maana ya kichwa cha familia? Wewe unatafuta kuanza kumtawala mumeo mapema kabisa.


Nakushauri, kama huwezi kuwa msabato, vunja huo uchumba. Tafuta mkatoloki mwenzio mfunge ndoa. Afu katoliki nfo dhehebu la wakristo wengi huwezi kukosa mchumba in huko.

Hivi unajua changamoto wanazopata wale ambao wanapeana uhuru wa mke kwenda kanisa analotaka?
 
Sikushauri ufunge ya serikali,utawatesa sana watoto watashindwa wafate Dini ipi,ya baba au ya mama.

Ushauri wangu,sioni shida wewe kuwa msabato kama kweli unampenda mchumba wako,sioni ugumu hapo kwa sababu wote ni waabudu Kristu.
Tatz kila mtu amelelewa kwenye misingi ya dhehebu lake na usichukulie poa labda Kama hujawai kukutana na ii changamoto...na sio Kama napenda nataman iwe rhc ivyo kwangu lakn moyo ndo unanisaliti
 
Back
Top Bottom