Jessy2
Member
- Sep 18, 2023
- 56
- 107
- Thread starter
- #81
Yani mm sikuwai lijuaga ili dhehebu namna lilivyo..na at first nilishamkatalia akaniambia kuwa ya serikali tutafunga ili kila mtu abaki na dini yake lakini alipoanza kuwa serious na haya Mambo ndo amenigeuka anasema hataki ata kusikia inabd mm nimfate yeye
Mnadetije miaka 6 bila ku rule-out mambo sensitive kama haya?
Kuna mambo huwa inabidi yawekwe kwenye mstari mwanzo kabisa wa mahusiano...