Ata mm, m nachotaka tu niwe na Ile freedom of worship bhc...na stk nifanye kwa kujifichaMimi sioni tatizo kwa vile kwa Tz hasusani mila zetu mke anamfuata mume ...Mnaweza kufunga kwa upande wa mume ila bado wote ni wakristo na kila mtu atafuate dhehebu lake baada ya hapo..
Ila tambua watoto watafuate kwa baba.
Ibada ni zile zile labda itikadi ,ila kifupi wote nyie ni wakristo.Mm Sina shida na watt wake kunifu
Ata mm, m nachotaka tu niwe na Ile freedom of worship bhc...na stk nifanye kwa kujificha
Nimeshaongea nae kila kitu na kwa namna niwezavyo lkn hataki..afu kinachonishàgaza sio ata mtu wa kanisani enda yake ya Mara moja au mbili kwa mwaka..Ila tu nyumban kwao baba yake ni mchungaji wa kanisa nahisi ndo Mana inakuwa hiviUsije ukabadili Ukatoliki wako kamwe! Yeye ndiye anapaswa afuate kanisa moja Takatifu la mitume.
Ipo, kaulize vizuri.Shida ni kuwa Rc hamna io ndoa ya mseto kwa dhehebu izo mbili nilishauliza kanisani option ni serikali tu na yy ndo hataki ata kusikia
Rc hamna ndoa ya mseto Kati ya mkatoliki na msabato... Ipo Kati ya Rc na KKT, Rc na Moravian, Rc na Anglican... Lkn yy hataki anataka nifate vile anavyotaka yy
Ipo sana, mimi ni mmoja wa wanufaika wa hilo, ulizia vizuri.Rc hamna ndoa ya mseto Kati ya mkatoliki na msabato... Ipo Kati ya Rc na KKT, Rc na Moravian, Rc na Anglican... Lkn yy hataki anataka nifate vile anavyotaka yy
Wasabato ni jihadist furaha yao ni kum convert mtu ajiunge na dini yao.Ebu jaribu kumshawishi kwamba Kanisa Katoliki la Mitume, kuna kitu inaitwa Ndoa ya mseto.
Lakini mwisho wa siku kila mmoja anabaki kwenye dhehebu lake.
Achaneni na itikadi kwani ni mtazamo wa mtu binasi hauna athari kwa mwingine...Itikadi inabaki kwako kama unaona sawa ila sio lazima mwingine aifuate.Tatz sio muelewa anavuta upande wake tu🥺
Yani we acha tu, sikuwai kulijua Hilo mapema🥺Kubadili dhehebu ni kubadili mtazamo, ni jambo la kiimani zaidi sio kama vile kuhama kituo cha kazi. mwambie akuelekeze misingi ya usabato ila kama unaona hukubaliani nayo basi ubaki na ukatoliki wako,
Sema combination ya usabato na ukatoliki ni noma sana, ni kama masika na kiangazi
Njoo kwangu mu RC mwenzioHabari zenu wapendwa.
Mimi ni binti wa miaka 24. Niko kwenye mahusiano na mchumba wangu ni miaka 6 Sasa tunaenda na ninampenda Sana mwanaume wangu.
Shida ya kuja hapa naombeni ushauri anataka kunioa ila changamoto inakuja upande wa dhehebu kwenye kubadili mimi napata ukakasi sana sijui kwanini, mimi ni mkatoliki pure na yeye ni msabato pure(kurya) mm sijawai dharau Imani yake ni vile tu nimelelewa kwenye misingi ya dini yangu. Anachotaka yeye ni ndoa ya kanisani na mm napata ugumu kubadili.
Nimejaribu kumshauri tufunge ya Serikali na watoto watakufata yeye lkn hatqki anataka ya kanisani. Mimi moyo wangu umekuwa mzito sijui kwanini na najiona sina amani kwenye huu uamuzi ambao nitafanya kumridhisha yeye sababu nampenda.
Nifanyeje🥺