Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasabato maadui wao wakubwa ni katoliki utawasikia wakisema babeli chukizo la mataifa ni katoliki. mara siku ya jumapili ni kile kikombe cha ghadhabu, mara yule mnyama wenye pembe na blabla nyingi, bora waislamu kwa sabato kuliko katoliki.Mbona wote ni dini moja,..angekuwa Muislam ungekubali ndoa ya Serikali?
Madini sana.Hayo madhehebu hayapo kwenye hivyo vitabu ila yalianzishwa na Wanaume na wanawake kama mlivyo ninyi. Hivyo ohata ninyi mnaweza kuanzisha dhehebu lenu.
Ukristo hauna uhusiano wowote na Ukatoliki,Usabato n.k. Unahitaji kumjua Kristo na misingi ya kweli yake ili uweze kuona tofauti. Wenye dini wanatumia Ukristo kama kiki ya kuzisambazia dini zao kirahisi na hakika wamefanikiwa sana!Siku hizi kumbe hamna tena Ukristo!!?
Si mnakuwa mshamilikiana na hati za kumilikiana mnazo tayari.Na watu wakishaoana tu uadui unaanza hapo hapo sijui kwanini
Basi kataa ndoa....🤨Rc hamna ndoa ya mseto Kati ya mkatoliki na msabato... Ipo Kati ya Rc na KKT, Rc na Moravian, Rc na Anglican... Lkn yy hataki anataka nifate vile anavyotaka yy
Correct!Ukristo hauna uhusiano wowote na Ukatoliki,Usabato n.k. Unahitaji kumjua Kristo na misingi ya kweli yake ili uweze kuona tofauti. Wenye dini wanatumia Ukristo kama kiki ya kuzisambazia dini zao kirahisi na hakika wamefanikiwa sana!
Huyo Kristu unamfahamu kupitia mafundisho uliyoyapata kanisani! Acha ujinga hauwezi kusema upate elimu bila shule.Wote waache dini zao washikamane na Kristo Yesu[emoji3]
Wewe wasema. Usiishi kwa kukariri maisha uliyoishi wewe kwamba ndio kila mtu kaishi hivyo hivyo.Huyo Kristu unamfahamu kupitia mafundisho uliyoyapata kanisani! Acha ujinga hauwezi kusema upate elimu bila shule.
Hiyo ni miradi ya watu mkuu. Kalaghabaho!Huyo Kristu unamfahamu kupitia mafundisho uliyoyapata kanisani! Acha ujinga hauwezi kusema upate elimu bila shule.
Mbona ulianza uzinzi mapema sana...... Ashakugegeda sana na amekuona hufai now.... Dini haiwezi kuwa kigezo cha kutodunga ndoaHabari zenu wapendwa.
Mimi ni binti wa miaka 24. Niko kwenye mahusiano na mchumba wangu ni miaka 6 Sasa tunaenda na ninampenda Sana mwanaume wangu.
Shida ya kuja hapa naombeni ushauri anataka kunioa ila changamoto inakuja upande wa dhehebu kwenye kubadili mimi napata ukakasi sana sijui kwanini, mimi ni mkatoliki pure na yeye ni msabato pure(kurya) mm sijawai dharau Imani yake ni vile tu nimelelewa kwenye misingi ya dini yangu. Anachotaka yeye ni ndoa ya kanisani na mm napata ugumu kubadili.
Nimejaribu kumshauri tufunge ya Serikali na watoto watakufata yeye lkn hatqki anataka ya kanisani. Mimi moyo wangu umekuwa mzito sijui kwanini na najiona sina amani kwenye huu uamuzi ambao nitafanya kumridhisha yeye sababu nampenda.
Nifanyeje🥺
Ndoa! Ndoa! Maamuzi magum yatakufikisha mbali funga ndoa , afu upambane kumshep mmeo , utakua unaenda katolik mara moja moja😁Habari zenu wapendwa.
Mimi ni binti wa miaka 24. Niko kwenye mahusiano na mchumba wangu ni miaka 6 Sasa tunaenda na ninampenda Sana mwanaume wangu.
Shida ya kuja hapa naombeni ushauri anataka kunioa ila changamoto inakuja upande wa dhehebu kwenye kubadili mimi napata ukakasi sana sijui kwanini, mimi ni mkatoliki pure na yeye ni msabato pure(kurya) mm sijawai dharau Imani yake ni vile tu nimelelewa kwenye misingi ya dini yangu. Anachotaka yeye ni ndoa ya kanisani na mm napata ugumu kubadili.
Nimejaribu kumshauri tufunge ya Serikali na watoto watakufata yeye lkn hatqki anataka ya kanisani. Mimi moyo wangu umekuwa mzito sijui kwanini na najiona sina amani kwenye huu uamuzi ambao nitafanya kumridhisha yeye sababu nampenda.
Nifanyeje🥺
Madini sana.
Kwanini akatae wakati kila mtu ana uhuru wa kuabudu anakotaka kufunga ndoa pamoja hakumuondolei mtu haki ya kuacha vitu anavyovipenda ! na misingi iliyomkuza! Kikubwa upendo na tabia njema !!Ndo icho kitu pia mm nataka lkn naona mwenzangu hataki na ndio mana nataka makubaliano mapema ili badae asije niona nimekengeuka