Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Kuna mtu pia alinishauri hiyp.ya room selfcontained ila naona uzito kudeal na watu wengi

Nilivyo mwehu eti namuombaga yeye ushauri na anavyonikatisha tamaa sasa.
Kuna wkt alinishauri nimuuzie ila hiyo bei alitajia nilichoka
Usipokua makini utapoteza nyumba yako.
Nyie mmeunganishwa na biashara bila shaka humjui na wala yeye hakujui, unamuingiza kwenye mipango yako kitu ambacho ni hatari sana.

Atapima uelewa wako na kuona akupige vipi na ushindwe kuchomoa.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ fanya unikutanishe naye tu mzee wa bucci
Poa.
Leo nimemuona yuko kwenye ford ranger ya boss wake wanamjengea gorofa alivyoweka hicho kipepsi nilikukumbuka nikacheka ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Karibia na Kwa Osama,ingekua kipindi kile cha kikwete kabla Mambo hayajaharibika,Kodi ungekula Ata laki tano Kwa mwenzi,
Ila Kwa Sasa pandisha Kodi kidogo apo kwenye laki tatu sio mbaya
Poa mkuu?
 
Usipokua makini utapoteza nyumba yako.
Nyie mmeunganishwa na biashara bila shaka humjui na wala yeye hakujui, unamuingiza kwenye mipango yako kitu ambacho ni hatari sana.

Atapima uelewa wako na kuona akupige vipi na ushindwe kuchomoa.
Nakubali mkuu kuwa hapo sikutumia akili
 
Kiufupi HUNA NYUMBA UNAJIFURAHISHA KUANDIKA UZI
 
Poa.
Leo nimemuona yuko kwenye ford ranger ya boss wake wanamjengea gorofa alivyoweka hicho kipepsi nilikukumbuka nikacheka ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
Mi kucheka sitaki bana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hiyo ford alikaa mbele?
Mr bucci basi ana ujinga mwingi, ungempiga picha bana nimuone mzee wa bongo bahati mbaya.!
 
Mi kucheka sitaki bana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hiyo ford alikaa mbele?
Mr bucci basi ana ujinga mwingi, ungempiga picha bana nimuone mzee wa bongo bahati mbaya.!
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Akae nyuma ana wwzimu๐Ÿ˜„
Kajitanua pale mbele uzasema ye ndo bosi anaendeshwa๐Ÿ˜„๐Ÿ˜
Picha singeweza huyo boss angenimind.
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Akae nyuma ana wwzimu๐Ÿ˜„
Kajitanua pale mbele uzasema ye ndo bosi anaendeshwa๐Ÿ˜„๐Ÿ˜
Picha singeweza huyo boss angenimind.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kaupiga mwingi
Km ana simu hapo kajifotoa za kutosha.!
Mzee wa bongo bahati mbaya natamani sana nimuone
 
Wabongo tupunguze wivu, unachokiona kigumu kwako sio kwa wote.!
Kuna sehemu niliona anatia huruma kuomba connection ys ya ajira nikatamani ningekua na uwezo nimfanyie wepesi.Imagine ningekua na huo uwezo hlf unaingia cha kike kumsaidia mtu kama huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ