Ugomvi kama huo ukienda kuamulia ni bonge ya risk unatakiwa angalau uvae vest kwa ajili ya kuzuia sharps object kama visu, na helment kwa ajili ya usalama wa kichwaMleta mada atuambie ni kabila gani. Wakurya wanatumia silaha yoyote iliyo mbele yake. Nshaishi na jirani wakurya aiseee ugomvi wao mkubwa sana na haipiti wiki hawajapigana sio kugombana kwa maneno ni ngumi,visu,mwichi,zinarushwa chupa hatari
15 yrs kwenye ndoa bado sina experience? Natakiwa kufikisha miaka mingapi?Mwali, hakuna unalo lijua kuhusu ndoa. Na nikisoma maandishi yako sawasawa naona you're too concerned kuhusu mwanaume kumpiga mwanamke.
Anyway, kwauzoefu wangu mimi hapo jamaa hana kesi na hakuna litakalo fanyika zaidi ya kutishiwa na kupata usumbufu wa kipolisi.
Pengine tu nijueleze kwamba hakuna polisi inayoweza kutatua matatizo ya ndoa, ndio sababu waliamua kuanzisha Dawati ili wajikite kwenye usuluhishi zaidi kwenye migogoro ya ndoa
Simtetei yoyote maana sijui undani wa matatizo yao ila ikibidi mtu apelekwe polisi iwe mke au mume na apelekwe tuLazima umtetee mwanamke mwenzako
Hongera sana mwali, maana namuhurumia huyo mumeo kuvumilia kuishi 15 good years kwenye tanuru la hapo Baghdad...π15 yrs kwenye ndoa bado sina experience? Natakiwa kufikisha miaka mingapi?
Kama ulivyosema dawati la jinsia kazi yake ni kujaribu kutatua migogoro basi tambua kwamba watu wataendelea kupelekana huko ikibidi. Na si lazima dawati la jinsia liweze kutatua .
Kutishiwa na usumbufu wa polisi ni dhumuni mojawapo la mke kumpeleka mume huko.
Hiyo tanuru kwake ni pepo ya duniani, na hana ubavu wa kuniachaHongera sana mwali, maana namuhurumia huyo mumeo kuvumilia kuishi 15 good years kwenye tanuru la hapo Baghdad...π
Nikweli mwali, kwa miaka 15 bilashaka ameamua kuwa mvumilivu tu ili abaki anaendelea kupumua...π€Hiyo tanuru kwake ni pepo ya duniani, na hana ubavu wa kuniacha
Ndo hivyo hakuna namnaNikweli mwali, kwa miaka 15 bilashaka ameamua kuwa mvumilivu tu ili abaki anaendelea kupumua...π€
Namna ipo, sema tu mumeo hana namna. Lakini nawewe naomba nikupongeze kwa ufundi....ππNdo hivyo hakuna namna
Mhhhhh....Ndo hivyo hakuna namna
Master plan katika ubora wakeMfungulie kesi ya wizi
Waambie maafanda kakimbia na pesa zako za biashara.
Akifuta kesi na wewe futa
Inaonekana ulishamshikia akili yake.Hiyo tanuru kwake ni pepo ya duniani, na hana ubavu wa kuniacha
umejuaje chief tena hilo la harusi wanawake wanapenda kweliSiku hizi ndoa ni muunganiko wa watu wawili wenye tamaa zao,unakuta mmoja ana hamu ya harusi sio ndoa,kuvaa shela,kupata zawadi,kuonekana kaoa au kuolewa,kuvaa pete, kukimbia maneno/masimango ya ndugu jamaa na marafiki. etc hivyo upendo hapo unadumu mwezi tu baada ya hapo waanza kuishi kwa mazoea
Mkuu, hata mimi hili limenisikitisha sana.Inaonekana ulishamshikia akili yake.
ππππUgomvi kama huo ukienda kuamulia ni bonge ya risk unatakiwa angalau uvae vest kwa ajili ya kuzuia sharps object kama visu, na helment kwa ajili ya usalama wa kichwa
yani unapiga mkeo mpaka anaenda kuuguzwa wewe kweli ms.engeKifamilia imeshindikana kwani alienda kwao baada ya kuuguzwa na wazazi wangu,inaonekana ameshinikizwa ili kunikomoa tu
Dahhhh....Siku mke akinipeleka polisi Kwa ugomvi wa ndani hiyo ndoa itabaki historia
Mkuu, hivi umesoma huu uzi na ukaelewa kweli..??yani unapiga mkeo mpaka anaenda kuuguzwa wewe kweli ms.enge
Wakwangu ni zaidi ya mwaka sasa yupo kwao. Nae alileta pigo hizo hizo za kukimbilia policeSiku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia, lakini badae akaenda police kunishtaki kuwa nimempiga na jalada lipo police, naombeni ushauri kukiepuka kikombe hiki.