Mke hapigwi hata siku moja, utaingia matatizoni na Jamhuri.
Siku ingine, we mpe "HELA FEKI" aende nazo sokoni akachezee kichapo huko, akirudi mzima basi ujue hana meno ya sebuleni.
Mkuu uyu mchungaji avatar ndo we we?Kama ameweza kukupeleka police, hata kukuwekea sumu kwenye chakula anaweza.. Ingebid muyamalize nyie wenyewe , na msameheane.
Hii ina maanisha na wewe ulidundwa? 😆😀Siku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia
Shika adabu yako hujui watu wametoka wapi baada ya kuwambia wasameheyane wewe chura huna mke hapo daa dekii ,sasa akiachwa utamuoa weye.
Kwaiyo anayepiga ndo yuko sahihi, na je katika iko kipigo ingetokea akaua? Bora wa kwenda polisi sometimes inasaidia kwaivo akae anapondeka adi siku aponde kichwa mama wa watu azikwe eti kisa ndoaHata kama angepigika kiasi cha kutotembea asingethubutu kumpeleka mume wake police, kikubwa jamaa asolve tu hiyo issue ikiisha bas amrudishe kwao kwanza akili ikamkae sawa, ogopa sana mtu anaekupeleka police huyo anaweza kukuua kwa namna yoyote ile.
😂😂😂😂😂 kwamaana inaonekana wanalingana nguvu ni kuwaiana tu apoHii ina maanisha na wewe ulidundwa? 😆😀
Amenichanganya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine unakuta kukurupuka utafikiri walikuwa wanachukuliana mabwana na uyo mwanamke.....siku izi mtu anajaribu kuzaba Kofi tu mtu anapoteza fahamu, ndugu wanapoteza maisha kisa ugomvi wa ndoa, mwenzie kwenda polisi eti wanaume wanaona hafaiHawa wenye mikia wa humu ndani wanaona haki yao.kupiga mke mpaka wamng'oe macho....ila wakioelekwa polisi wanaona mke hafai
As if wanapiga ngoma!!!!
Imagine mpaka mtu kauguzwa kwao.
Ina maana kipigo kilikuwa cha maana. Angekufa je???
Ndio mkuuMkuu uyu mchungaji avatar ndo we we?
Imeshindikana mkuu
Baada ya kugombana Mimi ndo nilimtibu na baadae wazazi wangu wakaja kumchukua ili atulie kidogo lakini akatoroka hom na kwenda kwao ndo karudi kisirisiri kukisanua,alitaka kunipoga shoka ndipo nikamtime nakumlaza kwa mtama
Na ndo atakuwa mipango ya kukuoa sasa eti! Mnarahisisha ndoa kuvunjika dahWaogopa nini? Nenda kesho kituoni ukiwa umeshiba, watakuweka ndani hata wakitaka kukupeleka mahakamani wacha wakupeleke na Ndoa ndio Imeishia Hapo.
Ndoa zinaishaga ivo au mahusiano ya mahawaraNenda, ukitoka mwambie ndoa hakuna.
😂🤣🤣hata mimi ningeenda unampigaje mkeo ?Siku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia, lakini badae akaenda police kunishtaki kuwa nimempiga na jalada lipo police, naombeni ushauri kukiepuka kikombe hiki.
Mke hapigwi hata siku moja, utaingia matatizoni na Jamhuri.
Siku ingine, we mpe "HELA FEKI" aende nazo sokoni akachezee kichapo huko, akirudi mzima basi ujue hana meno ya sebuleni.