Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Hiyo na 2,3&4 ni red flag za kutosha kabisa, bila shaka amelelewa na mama peke yake au kama baba yake yupo basi hana nguvu katika familia. Kumruhusu
mkeo kumsikiliza mama yake ni kosa kubwa coz unaruhusu ndoa yako iendeshwe kwa rimoti kutoka ukweni(kama sirikali inavyoendeshwa toka pwani) na ukiendelea kuruhusu hilo na mwanao kama ni wa kike ataenda kumjibu mumewe kama wewe unavyojibiwa na mkeo coz anakua na kujifunza na kama unavyojua maskio ya watoto ni macho.. Akiwa wa kiume ataendeshwa na mkewe
mkeo kumsikiliza mama yake ni kosa kubwa coz unaruhusu ndoa yako iendeshwe kwa rimoti kutoka ukweni(kama sirikali inavyoendeshwa toka pwani) na ukiendelea kuruhusu hilo na mwanao kama ni wa kike ataenda kumjibu mumewe kama wewe unavyojibiwa na mkeo coz anakua na kujifunza na kama unavyojua maskio ya watoto ni macho.. Akiwa wa kiume ataendeshwa na mkewe