Naombeni ushauri ndugu zangu, seriously kabisa. Kuna sauti kila siku haiishi kuniambia kuwa mke niliye nae sio!

Naombeni ushauri ndugu zangu, seriously kabisa. Kuna sauti kila siku haiishi kuniambia kuwa mke niliye nae sio!

Ni mwaka wa 3 nipo na huyu mke na mtoto mmoja tayari; sijawahi kukamata sms ya ajabu wala kumkamata au kupata taarifa za kuchepuka kwake (labda watu wananiheshimu na hivyo hunistahi kwa kutoniambia), lakini pamoja na hayo nafsi yangu, katika kipindi chote, haiachi kuniambia kuwa hapa siyo sehemu sahihi.....nimepotea.

Kila nikijaribu kuipotezea sauti hii huwa inajiongeza hadi kufikia kuniamsha usingizini wakati mwingine.

Tuna viutofauti kadhaa, ndiyo, lakini mimi mwenyewe sijawahi kuvifanya kuwa hoja sana (kuvifikiria kupitiliza kiasi cha kupata hisia hizi hasi.....naona ni vitu vya kurekebishika vikidanyiwa kazi ipasavyo). Baadhi ya viutofauti gtetu ni hv hapa;

1. Kupenda kuvaa madera (mi si mfuasi wa madera),

2. Kulalamika lalamika ( sipendi makelele makelele miki),

3. Kuzoeana sana na mama yake,

4. Majibu ya jazba yanayopelekea ugomvi kati yetu,

5. Uchapakazi hafifu (si mwenye kuweza kulima ipasavyo),

6. Ucheshi unaompelekea kuzoeleka kirahisi (hii changamoto nayo wakati mwingine).

Uamuzi bora ni upi hapa wa kuchukua wadau?!!!

Sauti inaongezeka siku baada ya siku na hali ndo kama hivyo.
Daah basi ningekupa huyu nilienae basi ungekufa mapema,..vumilia ndugu kunamahali unaweza ukamuacha huyo ukapata kituko ambacho utajuta zaidi.hayo mapungufu yakawaida kabisa
 
On serious note,
Yote uliyoelezea nmegundua
Mkeo ana tatizo la ujuaji mwingi.

Yaan she's is too much know,

Na hili Ni janga sana pale baba unapotaka kusimama fully Kama Kichwa Cha familia.

Cha kufanya,
Tumia "martial law" atarudi mstarini[emoji41]
Kiongozi, hiko kichwa kina ubongo unaofanya kazi? Kuwa mwanaume hakukufanyi uwe kichwa tu kwenye familia....Kuna vichwa vingi vya familia, familia haina chakula, ada za shule zinahitajika; baba pesa yote amemaliza baa.
That's what I think....sijamuelezea mtoa mada kuwa sio kichwa bora cha familia.
 
Dah! wanawake wanavyoona huu uzi wanathibitisha kwamba wao ni wa kuchokwa chokwa tu😁
 
Wewe ndio huvumiliki...
Mhh hiyo no 5 mimi ungenifukuza ndani ya wiki
 
Kwa kifupi unachukia kuwa kwake binadamu. Maana uliyoyaandika kama dosari ni mambo ya kawaida ya kibinadamu.
 
Swala la msingi hapa ni; je hiyo sauti ipoje??, inakujia vipi na katika wakati gani??, ni sauti ya kike au kiume??, inatoa sababu gani za msingi??

Vinginevyo ni sauti ya kichawi/kishetani dhidi ya ndoa yako. LABDA kuna demu, mchepuko kama unaye au adui ya mkeo nk yupo behind the action, kumbuka dunia ina mambo.
 
Huyo ni mkeo, hakuna tena nafasi ya kugeuka na kumuacha. Sauti za kihisia unapaswa uzipuuze.
 
Sio wew tu unaesikia hako kasauti,karibia wanaume wengi tunakasikia ila tunakapinga na kuendelea kuwa na wake zetu
 
Ni mwaka wa 3 nipo na huyu mke na mtoto mmoja tayari; sijawahi kukamata sms ya ajabu wala kumkamata au kupata taarifa za kuchepuka kwake (labda watu wananiheshimu na hivyo hunistahi kwa kutoniambia), lakini pamoja na hayo nafsi yangu, katika kipindi chote, haiachi kuniambia kuwa hapa siyo sehemu sahihi.....nimepotea.

Kila nikijaribu kuipotezea sauti hii huwa inajiongeza hadi kufikia kuniamsha usingizini wakati mwingine.

Tuna viutofauti kadhaa, ndiyo, lakini mimi mwenyewe sijawahi kuvifanya kuwa hoja sana (kuvifikiria kupitiliza kiasi cha kupata hisia hizi hasi.....naona ni vitu vya kurekebishika vikidanyiwa kazi ipasavyo). Baadhi ya viutofauti gtetu ni hv hapa;

1. Kupenda kuvaa madera (mi si mfuasi wa madera),

2. Kulalamika lalamika ( sipendi makelele makelele miki),

3. Kuzoeana sana na mama yake,

4. Majibu ya jazba yanayopelekea ugomvi kati yetu,

5. Uchapakazi hafifu (si mwenye kuweza kulima ipasavyo),

6. Ucheshi unaompelekea kuzoeleka kirahisi (hii changamoto nayo wakati mwingine).

Uamuzi bora ni upi hapa wa kuchukua wadau?!!!

Sauti inaongezeka siku baada ya siku na hali ndo kama hivyo.
Ushauri wangu ni utafute sound recorder iweke irekodi hiyo sauti ukiwa usingizini tena ukiwa unaiuliza hiyo sauti sababu za kukuambia hivyo. Ukiamka sikiliza conversions zenu utapata ukweli
 
Ni mwaka wa 3 nipo na huyu mke na mtoto mmoja tayari; sijawahi kukamata sms ya ajabu wala kumkamata au kupata taarifa za kuchepuka kwake (labda watu wananiheshimu na hivyo hunistahi kwa kutoniambia), lakini pamoja na hayo nafsi yangu, katika kipindi chote, haiachi kuniambia kuwa hapa siyo sehemu sahihi.....nimepotea.

Kila nikijaribu kuipotezea sauti hii huwa inajiongeza hadi kufikia kuniamsha usingizini wakati mwingine.

Tuna viutofauti kadhaa, ndiyo, lakini mimi mwenyewe sijawahi kuvifanya kuwa hoja sana (kuvifikiria kupitiliza kiasi cha kupata hisia hizi hasi.....naona ni vitu vya kurekebishika vikidanyiwa kazi ipasavyo). Baadhi ya viutofauti gtetu ni hv hapa;

1. Kupenda kuvaa madera (mi si mfuasi wa madera),

2. Kulalamika lalamika ( sipendi makelele makelele miki),

3. Kuzoeana sana na mama yake,

4. Majibu ya jazba yanayopelekea ugomvi kati yetu,

5. Uchapakazi hafifu (si mwenye kuweza kulima ipasavyo),

6. Ucheshi unaompelekea kuzoeleka kirahisi (hii changamoto nayo wakati mwingine).

Uamuzi bora ni upi hapa wa kuchukua wadau?!!!

Sauti inaongezeka siku baada ya siku na hali ndo kama hivyo.
labda haumpendi au ulikua naye kwa shinikizo ... changamoto hazikosekani bro na hasa mapungufu ya wenza wetu tukishayatambua inatupasa kutambua namna ya kuyakubali ...
zaidi binadamu hakuna aliyekamilika...
 
Huyo ni mke na mna mtoto mkuu..chochote utachoamua hakilisha unaamua kwa umakini
 
Ni mwaka wa 3 nipo na huyu mke na mtoto mmoja tayari; sijawahi kukamata sms ya ajabu wala kumkamata au kupata taarifa za kuchepuka kwake (labda watu wananiheshimu na hivyo hunistahi kwa kutoniambia), lakini pamoja na hayo nafsi yangu, katika kipindi chote, haiachi kuniambia kuwa hapa siyo sehemu sahihi.....nimepotea.

Kila nikijaribu kuipotezea sauti hii huwa inajiongeza hadi kufikia kuniamsha usingizini wakati mwingine.

Tuna viutofauti kadhaa, ndiyo, lakini mimi mwenyewe sijawahi kuvifanya kuwa hoja sana (kuvifikiria kupitiliza kiasi cha kupata hisia hizi hasi.....naona ni vitu vya kurekebishika vikidanyiwa kazi ipasavyo). Baadhi ya viutofauti gtetu ni hv hapa;

1. Kupenda kuvaa madera (mi si mfuasi wa madera),

2. Kulalamika lalamika ( sipendi makelele makelele miki),

3. Kuzoeana sana na mama yake,

4. Majibu ya jazba yanayopelekea ugomvi kati yetu,

5. Uchapakazi hafifu (si mwenye kuweza kulima ipasavyo),

6. Ucheshi unaompelekea kuzoeleka kirahisi (hii changamoto nayo wakati mwingine).

Uamuzi bora ni upi hapa wa kuchukua wadau?!!!

Sauti inaongezeka siku baada ya siku na hali ndo kama hivyo.
Una jini mahaba. Ombewa
 
Ni mwaka wa 3 nipo na huyu mke na mtoto mmoja tayari; sijawahi kukamata sms ya ajabu wala kumkamata au kupata taarifa za kuchepuka kwake (labda watu wananiheshimu na hivyo hunistahi kwa kutoniambia), lakini pamoja na hayo nafsi yangu, katika kipindi chote, haiachi kuniambia kuwa hapa siyo sehemu sahihi.....nimepotea.

Kila nikijaribu kuipotezea sauti hii huwa inajiongeza hadi kufikia kuniamsha usingizini wakati mwingine.

Tuna viutofauti kadhaa, ndiyo, lakini mimi mwenyewe sijawahi kuvifanya kuwa hoja sana (kuvifikiria kupitiliza kiasi cha kupata hisia hizi hasi.....naona ni vitu vya kurekebishika vikidanyiwa kazi ipasavyo). Baadhi ya viutofauti gtetu ni hv hapa;

1. Kupenda kuvaa madera (mi si mfuasi wa madera),

2. Kulalamika lalamika ( sipendi makelele makelele miki),

3. Kuzoeana sana na mama yake,

4. Majibu ya jazba yanayopelekea ugomvi kati yetu,

5. Uchapakazi hafifu (si mwenye kuweza kulima ipasavyo),

6. Ucheshi unaompelekea kuzoeleka kirahisi (hii changamoto nayo wakati mwingine).

Uamuzi bora ni upi hapa wa kuchukua wadau?!!!

Sauti inaongezeka siku baada ya siku na hali ndo kama hivyo.
Me navyoona huyo ulonae unampotezea muda na utapata mwingine itakua vivohivyo, yani kama uwez kutunza mapungufu ya mwenzio na kuyafurahia mazuri yake ww shimo lako ni wale wadada wa buku buku basi.
 
Utampata wapi asie na mapungufu? Kwa wastani kila binadamu ana angalau tatizo moja sasa hapo wewe mkeo na mtoto jua tayari una matatizo 3 ya kusolve, kuwa kichwa cha familia sio mchezo
Ahsante
 
Mkuu kabla sijatoa ushaur wangu,naomba uwe mkweli juu ya hili ninalotaka kujua,litanidhibitishia kile ambacho naona ni tatizo

Huwa unajisikia kusex nae au kama unajilazimisha?
Ukweli najivuta sana, huo ndo ukweli
 
Back
Top Bottom