Naombeni ushauri nini nisome kulingana na matokeo haya

Naombeni ushauri nini nisome kulingana na matokeo haya

Kasome diploma ya clinical officer,Nursing,Pharmacy,Lab Technician,hizi fani huwezi kukosa KAZI Mtaani kuna Dispensary kibao binafsi,Mashirika Kama MDH,ICAP, RED CROSS ukichangamka na Diploma yako unakula maisha nje ya serikali hizo Dispensary ni za kujishkiza tu KWA kuanzia ila hayo Mashirika ndio kuna lifa hapo,pia utakuwa unatega na ajira za serikali.
Au Ualimu,IT kwa ulimwengu wa sasa Tehama ni msingi wa karibu mambo yote lakini unaweza kusota sana mpaka kutoboa kikubwa kujituma.
 
Kasome diploma ya clinical officer,Nursing,Pharmacy,Lab Technician,hizi fani huwezi kukosa KAZI Mtaani kuna Dispensary kibao binafsi,Mashirika Kama MDH,ICAP, RED CROSS ukichangamka na Diploma yako unakula maisha nje ya serikali hizo Dispensary ni za kujishkiza tu KWA kuanzia ila hayo Mashirika ndio kuna lifa hapo,pia utakuwa unatega na ajira za serikali.
Au Ualimu,IT kwa ulimwengu wa sasa Tehama ni msingi wa karibu mambo yote lakini unaweza kusota sana mpaka kutoboa kikubwa kujituma.
#nashukuru sana kwa ushauri wako.
 
Somea fani unayopenda usitake ushauri utapotezwa maboya.. fata ndoto zako

Labda ungeorodhesha fani kadhaa unazopenda ili tushaur ipi inafaa zaidi
 
Ni wazo zuri, lakini je asipo ajiriwa anaweza akajiajiri?

Pamoja na kwamba sector hiyo inazidi kufunguka, lakini je uhitaji wa walio somea hizo course ni mkubwa kiasi gani?

Anyway......Mimi nilimshauri kijana wangu akasomee kitu ambacho asipo ajiriwa basi hata yeye anaweza akajiajiri.

Na kwakua ufauluwake haukua mzuri sana niliamua akaanzie Veta masomo ya Mechanical Engineering kwa miaka mitatu, kisha nitamtafutia field (Mining) kama Mungu atanipa uhai ili akija kumaliza azijue kazi za mikono na iwe rahisi kuajiriwa ama hata kujiajiri.

Kabla hajaenda Veta nilimpeleka Driving course ili aanze kujiandaa pia kua professional driver wakati anaendelea kusoma Veta na leseni yake inakua.

Mwisho wa siku kijana nataka awe multiple skilled boy, na ikiwa atafanya vyema basi nitampandisha akachukue Diploma ya Mechanical Engineering.
Umeshauri vema sana, nyakati hizi kuwa na basic skills ni muhimu sana mfano driving na kupata leseni, nilimshauri kuhusu kozi za madini kwasababu sio tu soko lina uhitaji wa wataalamu lakini pia anaweza jiajiri kupitia small scale mining kama mchimbaji mdogo, mkemia, n.k
 
Soma kitu ambacho kitaa kinabamba,
Kwa ufaulu wako unaweza kusoma course yoyote ya engineering au afya.
Kasome Electrical with automation arusha tech,
Electronics and telecommunication/ Electrical and electronics St joseph,Dit, must au almaktoum college.
 
Soma kitu ambacho kitaa kinabamba,
Kwa ufaulu wako unaweza kusoma course yoyote ya engineering au afya.
Kasome Electrical with automation arusha tech,
Electronics and telecommunication/ Electrical and electronics St joseph,Dit, must au almaktoum college.
#kozi ulizo orodhesha apo ambazo zinapatikana kwenye tech ajira zake zipo kweli??
 
Somea fani unayopenda usitake ushauri utapotezwa maboya.. fata ndoto zako

Labda ungeorodhesha fani kadhaa unazopenda ili tushaur ipi inafaa zaidi
#kwa kozi za afya
1; clinical officer
2; nursing
3; radiologist
Kwa kozi za ufundi
1; electrical engineering
 
Mimi nilianzia QT mwaka juzi na nimemaliza Kidato cha nne mwaka Jana na matokeo yangu ni lama ifuatavyo, Civ 'C, Hist 'C, Geo 'C, Eng 'D, Kisw 'C, Phy 'C, Chem 'B, Bio 'C, Math 'A.

Umri wangu ni miaka 24

Naombeni ushauri kama nikienda chuo nikasomee nini chenye fursa?

Na Kama nikienda advance kusomea PCM au PCB, nini faida yake nikienda advance kuliganisha na chuo moja kwa moja.

Naomba ushauri wenu [emoji120][emoji120][emoji120]
Advance PCM au PCB chuo udaktari au kozi za biashara full stop...huna hadhi ya kuanzia certificate matokeo yako ni Hadhi ya Advance wenye d nne ndo wahangaike na Certificate maana mfumo wa advance umewatema, usijishushie Hadhi mzee.
 
Advance PCM au PCB chuo udaktari au kozi za biashara full stop...huna hadhi ya kuanzia certificate matokeo yako ni Hadhi ya Advance wenye d nne ndo wahangaike na Certificate maana mfumo wa advance umewatema, usijishushie Hadhi mzee.
#tatizo umri wangu naona umenipiga mkono.
 
Back
Top Bottom