πππ Daadeq, watu wabaya sanakuna mwamba alikua likizo kikaz akaenda bush kwao network chenga mkewe akamtengenezea chet cha kifo akapeleka kazin akavuta stahiki za kiongozi alafu akaolewa na mvuta bange wake wakat anasubiria taratibu za mirathi ndio mwamba anarudi anaonekana kama mzimu πππ
Ushauri wa busara sana huubinafsi ningekushauri ambavyo wengine hawatakushauri.
we endelea na maisha kama mke wako na mtoto lea na mkubali kama mtoto wako wala usimbague kwa kuwa gharama ya kuwatafutia watoto mama mwingine ni kubwa kuliko kubaki naye.
ila ukweli ni kwamba maumivu yatakuwepo lakini usiogope tukiacha ubinafsi tunaweza kuyajenga ndani ya familia kwa faida ya watoto na familia kwa ujumla na maisha yakaenda mwisho wa siku wanawake wengi tulionao ni wake za watu hatukuwaoa wakiwa bikira.
maisha ni mafupi sana jitahidi kuwa mvumilivu kwakuwa muda ni mfupi sana kwa kila kitu.
usimuache oa mke wa pili wa kukutuliza maumivukaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..
Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..
Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..
Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Sasa keshaomba umsamehe unataka Usha gani tena? Lea huyo mtoto halafu mpeleke kwao kisha safiri tena ukirudi unakuta mimba nyingine unalea mtoto kisha unapeleka kwa baba yake maana alishaomba msamaha.kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..
Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..
Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..
Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Ushauri bora kabisa ila tu ajifunze kuachilia na ikibidi wote wakapate ushauri nasaha. Aachilie kabisa kabisa na asamehe moja kwa moja akiamua kubaki na huyo malaya. Akibaki na makovu moyoni basi atakufa kwa msongo wa mawazo na hasira....ukweli ni kwamba maumivu yatakuwepo lakini usiogope tukiacha ubinafsi tunaweza kuyajenga ndani ya familia kwa faida ya watoto na familia kwa ujumla na maisha yakaenda mwisho wa siku wanawake wengi tulionao ni wake za watu hatukuwaoa wakiwa bikira
maisha ni mafupi sana jitahidi kuwa mvumilivu kwakuwa muda ni mfupi sana kwa kila kitu.
Moja ya comment bora sana 2024.Mkiona wanawake hawanywi pombe hawavai bikini wala hawavai vimini mnawaona washamba. Pambana na hali yako
Hiyo ngumu kumezakaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..
Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..
Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..
Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Usikute hata hao watatu sio wake.kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..
Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..
Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..
Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...