Naombeni ushauri wakuu, mke wangu amezaa na mwanaume mwingine

Naombeni ushauri wakuu, mke wangu amezaa na mwanaume mwingine

kuna mwamba alikua likizo kikaz akaenda bush kwao network chenga mkewe akamtengenezea chet cha kifo akapeleka kazin akavuta stahiki za kiongozi alafu akaolewa na mvuta bange wake wakat anasubiria taratibu za mirathi ndio mwamba anarudi anaonekana kama mzimu 😁😁😁
😂😂😂 Daadeq, watu wabaya sana
 
Cross roads.
Usikilize Moto wako.
Kwa manufaa ya watoto wako kama umri wao chini ya miaka 14 usimuache huyo mwanamke labda unaweza kumtenga kwenye tendo la ndoa endapo unaogopa kukuletea maradhi.
 
Kwa kweli duniani wanaume tunatofautiana sana, yaani mwanamke akalete mimba nje na unajuwa na yeye kakiri bado unamuita mke wangu? ile kutoka tu nje ya ndoa mbaya ngumu kumvumilia lakini mpaka anabeba mimba na anailea mimba kazaa huyo alidhamiria na kisha fanya sana umalaya kashindwa hata kuzuia mimba. Huyo ni malaya kama malaya wa Sinza tu. Hafai kuitwa mke hata kama amekuzalia watoto 10. MALAYA
 
binafsi ningekushauri ambavyo wengine hawatakushauri.
we endelea na maisha kama mke wako na mtoto lea na mkubali kama mtoto wako wala usimbague kwa kuwa gharama ya kuwatafutia watoto mama mwingine ni kubwa kuliko kubaki naye.
ila ukweli ni kwamba maumivu yatakuwepo lakini usiogope tukiacha ubinafsi tunaweza kuyajenga ndani ya familia kwa faida ya watoto na familia kwa ujumla na maisha yakaenda mwisho wa siku wanawake wengi tulionao ni wake za watu hatukuwaoa wakiwa bikira.
maisha ni mafupi sana jitahidi kuwa mvumilivu kwakuwa muda ni mfupi sana kwa kila kitu.
Ushauri wa busara sana huu
 
kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..

Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..

Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..

Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
usimuache oa mke wa pili wa kukutuliza maumivu
 
kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..

Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..

Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..

Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Sasa keshaomba umsamehe unataka Usha gani tena? Lea huyo mtoto halafu mpeleke kwao kisha safiri tena ukirudi unakuta mimba nyingine unalea mtoto kisha unapeleka kwa baba yake maana alishaomba msamaha.
 
Serikali inabidi ianzishe mitaala ya ndoa mashuleni,kuanzia SEKONDARI wawe wanasoma tabia za wanawake na wanaume,mazuri na mabaya Yao watu waanze kujuwa mapema.Pole ndugu mke wako kakubali amwagiwe mvuwa
 
Serikali inabidi ianzishe mitaala ya ndoa mashuleni,kuanzia SEKONDARI wawe wanasoma tabia za wanawake na wanaume,mazuri na mabaya Yao watu waanze kujuwa mapema.Pole ndugu mke wako kakubali amwagiwe mvuwa na mkulima mwingine.
 
Mkiona wanawake hawanywi pombe hawavai bikini wala hawavai vimini mnawaona washamba. Pambana na hali yako
 
...ukweli ni kwamba maumivu yatakuwepo lakini usiogope tukiacha ubinafsi tunaweza kuyajenga ndani ya familia kwa faida ya watoto na familia kwa ujumla na maisha yakaenda mwisho wa siku wanawake wengi tulionao ni wake za watu hatukuwaoa wakiwa bikira
maisha ni mafupi sana jitahidi kuwa mvumilivu kwakuwa muda ni mfupi sana kwa kila kitu.
Ushauri bora kabisa ila tu ajifunze kuachilia na ikibidi wote wakapate ushauri nasaha. Aachilie kabisa kabisa na asamehe moja kwa moja akiamua kubaki na huyo malaya. Akibaki na makovu moyoni basi atakufa kwa msongo wa mawazo na hasira.

Hili ni mojawapo ya makosa yasiyosameheka na ni wanaume wachache wanaoweza kuvumilia. Asamehe moja kwa moja kabisa kabisa la kama hawezi basi avunje hiyo ndoa.

Na asije akasikiliza maneno ya feminists watakaokuja hapa kuanzisha ligi za kinadharia kujilinganisha eti oooh mbona wanaume huwa mnazaa nje ya ndoa. Hilo halitamsaidia sana hasa kama alikuwa mwaminifu kwa mkewe kwa asilimia 100%

Mungu na Amsaidie; na kwa lo lote atakaloamua basi atangulize maslahi ya hao malaika wasio na hatia waliojaliwa na Mungu 🙏🏿

Pia asisahau kupima DNA hao watoto wengine waliobaki ili kujihakikishia kama ni wake kweli ama la!
 
kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..

Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..

Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..

Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Hiyo ngumu kumeza
 
kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..

Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..

Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..

Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Usikute hata hao watatu sio wake.
 
Back
Top Bottom