Naombeni ushauri wenu juu ya huyu mtu🤔

Naombeni ushauri wenu juu ya huyu mtu🤔

Mkuu simamia misingi ya mwanaume kula mzigo swala la kukuzalia angalia ni mwanamke wa aina gani usidanganyike na maneno yake ukishazaa nae kumbuka hutakwenda mbali leo kasema hataki hela yako ila ipo siku utakuja hapa kuuliza tena cha msingi kama unajiogopa nenda kwa baba yako kaa nae ongea nae vizuri ushauri atakaokupa ufuate humu hakuna anaejua maisha yako kwahyo watu watatoa maoni yao kwa namna wanavyoona wao
Thanks sir kwa ushauri wako, siwezi lifikisha kwa wazazi watanitoa roho maana ni marufuku kupeleka single mom nyumbani eti ndio mchumba kwa sheria za wazazi wangu
 
Kwanza naomba radhi kwa hili nitaloeleza hapa maana naenda kinyume na codes za kiume "What happens in Vegas stay in Vegas" Sio vizuri sana kuzungumza mambo yako yahusishayo wanawake mitandaoni. But I have to do this coz sitaki kutumia akili yangu mwenyewe nisije haribikiwa mbeleni huko.

====
Binafsi mbali na utani na utundu wangu naokua nao huku Jf. Ila huku duniani nimtu tofauti nimezubaaa saaaaana +Shyness (Sorry if it sound weird). Kutokana na jinsi nilivyo swala zima la kupata mwanamke kwangu hua kipengele sana🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

So for the past 2 months kuna mgahawa nilikua napenda kula maramoja moja. Nikifika pale nafanya kilichonipeleka tu just salam, kuagiza chakula nasema ahsante kisha ninapita hivi.

Sasa mmiliki mwenye mgahawa mdada alikua akiniona ananichangamkia sana.. As a man nikawa nishajua she's into me. Coz kuna muda nilikua napata huduma kuliko kiasi cha pesa nacholipia.

Sasa siku moja tuko na wengine workers nikawa nami naongea hapo ndio akapata chance ya kuwa anazungumza nami. Mara nyingi sana amekua akisema live kua she's into me. Mm hata sijali najua utani. Juzi hapo ndio akaniomba namba yangu nikachukua simu yangu akajidip nikawa na namba yake.

Sasa jana jioni akawa ananitext na kueleza anachotaka kwangu... Kiufupi huyu dada anataka azae na mimi. Yaani anasema anataman azae na mimi tu basi🤔🤔. Nilijua anatania nikiamwambia saa mbili nitapita alipo aonge live hicho anachotaka kama kweli yupo serious.
Jioni nikaenda alipo akanipiga mistari kama yote hadi nikamwambia hii haijawahi tokea maishani mwangu😀

Kama kawaida yetu wanaume hua ni maharage ya mbeya mbele ya vocals za wanawake ilibidi nikubali tu ili nisionekane mnyonge/boya.
Nilimwambia mm sijajipanga kuzaa au kuoa mwaka huu yeye akasema hana shida na kuishi na mimi.. Hahitaji hata shing mia yangu anachotaka tu mm nimzalishe.

Ameniambia yeye ana nyumba yake ya urithi na frame za urithi mjini zenye wapangaji +plus mgahawa yeye anahitaji mtoto nami tu hata nisumbua kwa lolote.
Tatizo ananizid miaka kadhaa maana yeye ni wa 96 mimi wa ....... Ila sura, tako shepu matata vyote vipo

Sasa wakuu nipeni muongozo juu ya hili swala niamue nini kuhusu swala la kuzaa nae. Maana siwezi susia free utelezi. Mwenyewe anataka Jpili hii tuanze shughuli ya kumtia mimba😬😬😬

Kwa wapenda pichaView attachment 2862817
View attachment 2862818
Mkikua mtaacha
 
Ushauri wangu ni ule ule usishoboke kwa wanawake watakugeuza kua shost yao. Ukipiga kimya wao ndio watakutaka, wanawake hawapendi wanaume waongeaji sana maana hio ndo sector yao. So inakua conflict of interest... Hakuna she atakayekutaka ukishoboka kwao. View attachment 2862821
Yani wewe muomba ushauri, ndio umeanza tena kutushauri? Tena kwenye sekta ambayo mwenyewe umekiri kua huwa umezubaa?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kwanza naomba radhi kwa hili nitaloeleza hapa maana naenda kinyume na codes za kiume "What happens in Vegas stay in Vegas" Sio vizuri sana kuzungumza mambo yako yahusishayo wanawake mitandaoni. But I have to do this coz sitaki kutumia akili yangu mwenyewe nisije haribikiwa mbeleni huko.

====
Binafsi mbali na utani na utundu wangu naokua nao huku Jf. Ila huku duniani nimtu tofauti nimezubaaa saaaaana +Shyness (Sorry if it sound weird). Kutokana na jinsi nilivyo swala zima la kupata mwanamke kwangu hua kipengele sana🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

So for the past 2 months kuna mgahawa nilikua napenda kula maramoja moja. Nikifika pale nafanya kilichonipeleka tu just salam, kuagiza chakula nasema ahsante kisha ninapita hivi.

Sasa mmiliki mwenye mgahawa mdada alikua akiniona ananichangamkia sana.. As a man nikawa nishajua she's into me. Coz kuna muda nilikua napata huduma kuliko kiasi cha pesa nacholipia.

Sasa siku moja tuko na wengine workers nikawa nami naongea hapo ndio akapata chance ya kuwa anazungumza nami. Mara nyingi sana amekua akisema live kua she's into me. Mm hata sijali najua utani. Juzi hapo ndio akaniomba namba yangu nikachukua simu yangu akajidip nikawa na namba yake.

Sasa jana jioni akawa ananitext na kueleza anachotaka kwangu... Kiufupi huyu dada anataka azae na mimi. Yaani anasema anataman azae na mimi tu basi🤔🤔. Nilijua anatania nikiamwambia saa mbili nitapita alipo aonge live hicho anachotaka kama kweli yupo serious.
Jioni nikaenda alipo akanipiga mistari kama yote hadi nikamwambia hii haijawahi tokea maishani mwangu😀

Kama kawaida yetu wanaume hua ni maharage ya mbeya mbele ya vocals za wanawake ilibidi nikubali tu ili nisionekane mnyonge/boya.
Nilimwambia mm sijajipanga kuzaa au kuoa mwaka huu yeye akasema hana shida na kuishi na mimi.. Hahitaji hata shing mia yangu anachotaka tu mm nimzalishe.

Ameniambia yeye ana nyumba yake ya urithi na frame za urithi mjini zenye wapangaji +plus mgahawa yeye anahitaji mtoto nami tu hata nisumbua kwa lolote.
Tatizo ananizid miaka kadhaa maana yeye ni wa 96 mimi wa ....... Ila sura, tako shepu matata vyote vipo

Sasa wakuu nipeni muongozo juu ya hili swala niamue nini kuhusu swala la kuzaa nae. Maana siwezi susia free utelezi. Mwenyewe anataka Jpili hii tuanze shughuli ya kumtia mimba😬😬😬

Kwa wapenda pichaView attachment 2862817
View attachment 2862818
Kati ya zawadi nzuri na kubwa unayoweza kuwapa wanao, basi ni kuwafanya wawe na Mama mmoja.

Kuwa na watoto wenye wazazi tofauti tofauti, inaleta usumbufu sana mbeleni. Zingatia ilo mkuu.

I'm out.
 
Thanks sir kwa ushauri wako, siwezi lifikisha kwa wazazi watanitoa roho maana ni marufuku kupeleka single mom nyumbani eti ndio mchumba kwa sheria za wazazi wangu
Sasa kumbe unajua misingi ya familia yako basi ishi humo.... Tunakuwa watumwa kwa kukiuka miiko ya familia zetu mkuu ukizaa nae tu alafu familia ikajua basi unaweza haribu mambo mengi kula nyama ila swala la mimba sjui akuzalie achana nalo.
 
Kati ya zawadi nzuri na kubwa unayoweza kuwapa wanao, basi ni kuwafanya wawe na Mama mmoja.

Kuwa na watoto wenye wazazi tofauti tofauti, inaleta usumbufu sana mbeleni. Zingatia ilo mkuu.

I'm out.
Ahsante kwa ushauri mkuu nitazingatia
 
Sasa kumbe unajua misingi ya familia yako basi ishi humo.... Tunakuwa watumwa kwa kukiuka miiko ya familia zetu mkuu ukizaa nae tu alafu familia ikajua basi unaweza haribu mambo mengi kula nyama ila swala la mimba sjui akuzalie achana nalo.
Ok nitafanya hivo shida sex kasema atakaua ananipa kwenye danger days tuu
 
Kati ya zawadi nzuri na kubwa unayoweza kuwapa wanao, basi ni kuwafanya wawe na Mama mmoja.

Kuwa na watoto wenye wazazi tofauti tofauti, inaleta usumbufu sana mbeleni. Zingatia ilo mkuu.

I'm out.
Ushauri mzuri sana Huu
 
Aliyeandika huu ni ile ID ya Da'Vinci ya kila siku au kuna mtu kachukua simu yake?

Anyway ukisoma uzi kwa akili ya kawaida tu, inaonesha mwamba ushaelekea kibra...

1. Nikukumbushe tu, kumbuka kupima vipimo vikubwa kabla hujadinyana...

2. Kiumbe au viumbe wataozaliwa watakuwa wa kwenu nyote, mwanaume si jogoo la kuazima...
 
Back
Top Bottom