92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Piga mzigo alaf mpe juice yenye p2 akishika mimba niite mbwaaaaaOk nitafanya hivo shida sex kasema atakaua ananipa kwenye danger days tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga mzigo alaf mpe juice yenye p2 akishika mimba niite mbwaaaaaOk nitafanya hivo shida sex kasema atakaua ananipa kwenye danger days tuu
Ndio huyo huyo ndo maana nimeomba radhi kwanza maana nimeokopa kufanya maamuzi bila kushirikisha nyie wakubwa zanguAliyeandika huu ni ile ID ya Da'Vinci ya kila siku au kuna mtu kachukua simu yake?
Ahsante nitazingatia hili maana ni ngumu sana kuruka kiunzi cha kupewa free sexAnyway ukisoma uzi kwa akili ya kawaida tu, inaonesha mwamba ushaelekea kibra...
1. Nikukumbushe tu, kumbuka kupima vipimo vikubwa kabla hujadinyana...
Binafsi hata mm naogopa maana nishajiwekea ahadi atakae zaa nami ndio nitakua nae but kwa hili daah. Kweli ndio maana adam nae alikula tunda2. Kiumbe au viumbe wataozaliwa watakuwa wa kwenu nyote, mwanaume si jogoo la kuazima...
Hawa ndo watu wa jf sasaUnajitumia meseji unajijibu mwenyewe stop this madness
Not just one woman right dawg😀 Ushauri wako mbaya Azythromycine zimepanda bei ujue
Umejiunga jf ukiwa na miaka 14 😂😂😂😂.Umri usiwe kigezo maana hata kama mm wa 2000 nitakua Nina 24yrs sasa. I'm Quite a man
Mkuu Da'VinciMaana siwezi susia free utelezi. Mwenyewe anataka Jpili hii tuanze shughuli ya kumtia mimba
tutembee humoNot just one woman right dawg😀 Ushauri wako mbaya Azythromycine zimepanda bei ujue
Umenifumbua macho mkuu daah nilikua nachukulia simpo simpo I will reconsider my consideration (in rango voice)Hakuna mwanamke utazaa nae asihitaji uwepo wako kwa namna yeyote either uwepo wako au financially time ya mimba as long as anajua upo atahitaji uwepo wako kwa 100% je uko tayari kwa hili. Akishajifungua jua uchumi wake utashuka what do you think of that? Kulea so lelema kuanzia mimba mpaka atapojifungua lets utastick kwenye hayo makubaliano je utakua tayari kwa kesi za ustawi wa jamii for child support
All in all hakuna mwanamke ataacha kukusumbua kwa hili unless uwe tayari kwa yote
Umenikumbusha muvi ya The Hangover 1-3WEEDING IN VEGAS STAYS IN VEGAS
COPYUmenifumbua macho mkuu daah nilikua nachukulia simpo simpo I will reconsider my consideration (in rango voice)
Umenikumbusha muvi ya The Hangover 1-3
Totoo, mtoto 😂and why should I spin your topic totoo?
nimeuliza tu mtoto mzuri usiogope
Sanaaa... My first woman wakati nabarehe alinipigaga mistari yeye ilikua ni kituko siku hiyo full aibu😀😀Kumbe wanaume ni maharage ya mbeya? Nimecheka sana Vinci.
Ahsante kwa ushauri wako pisikali ngoja nifanye hivo. Sema shida yeye target yake ni ujauzito tu. So atakua ananipea danger days. Siwezi muoa yeye ni mkubwa afu kashazaaUshauri wangu: ni bahati nzuri sana kuzimikiwa na mwanamke, ukipendwa na mwanamke mapenzi kwako yanakuwa rahisi sana, ila take your time kama umempenda na wewe na kama tabia zako zinakuridhisha ingia naye kwenye mahusiano, msianzie mimba, anzieni mahusiano, utajua vingi kuhusu yeye ndio utaamua uzae nae au upotee.
Ngoja niwe nae tu. Afu pm yangu haifunguki since last week mods wamenipotezea kama hawaoni. I missed someoneUnaweza kugawa sperm zako ukajakujutia kwanini umeunganisha undugu na huyo mtu.
Ila kama mkianzia kwenye mahusiano una chances za kuwin mengi.
All the best boo.
😂😂😂😂😂😝🙌2000 afu nipo jf toka 2014. Mbegu zipo hazina kazi