professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 350
Samia anakaa kwa Madiba?Utakuja PM nikupe namba yake, maana mimi mwenyewe nimetoka kuongea nae sasa hivi.
Ungeweka namba yako ya simu wasaidizi wake wangekufikia kwa sababu nina imani wanapitia sana JFWakuu habari za jioni.
Ni mimi kijana mzalendo wa taifa langu, pia mwanafunzi hapa mlimani , ndugu Wana jf nahitaji kuonana na MH: Daktari Samia Suluhu Hassan nipo na project proposal ya muhimu Sana ambayo itakwenda kuliokoa taifa hili na watu wote kwa ujumla.
Najua wengi mtanidhihaki Lakini naomba mnipe utaratibu jinsi ya kuonana na Dr. Samia Suluhu Hassan.
Sihitaji middlemen, mana naona watachelewesha kuifanyia kazi project hii.
Ni muhimu Sana document hii aipate, kama si hivyo nipeni mawasilianao ya waziri wa Elimu.
Hivi wasaidizi wake hua wanapitia kweli?Mfuate inbox insta
Nenda kwenye page zake... M inbox..Wakuu habari za jioni.
Ni mimi kijana mzalendo wa taifa langu, pia mwanafunzi hapa mlimani , ndugu Wana jf nahitaji kuonana na MH: Daktari Samia Suluhu Hassan nipo na project proposal ya muhimu Sana ambayo itakwenda kuliokoa taifa hili na watu wote kwa ujumla.
Najua wengi mtanidhihaki Lakini naomba mnipe utaratibu jinsi ya kuonana na Dr. Samia Suluhu Hassan.
Sihitaji middlemen, mana naona watachelewesha kuifanyia kazi project hii.
Ni muhimu Sana document hii aipate, kama si hivyo nipeni mawasilianao ya waziri wa Elimu.
Weka email ama namba yako ya Simu...Wakuu habari za jioni.
Ni mimi kijana mzalendo wa taifa langu, pia mwanafunzi hapa mlimani , ndugu Wana jf nahitaji kuonana na MH: Daktari Samia Suluhu Hassan nipo na project proposal ya muhimu Sana ambayo itakwenda kuliokoa taifa hili na watu wote kwa ujumla.
Najua wengi mtanidhihaki Lakini naomba mnipe utaratibu jinsi ya kuonana na Dr. Samia Suluhu Hassan.
Sihitaji middlemen, mana naona watachelewesha kuifanyia kazi project hii.
Ni muhimu Sana document hii aipate, kama si hivyo nipeni mawasilianao ya waziri wa Elimu.