Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hila❌ Ila✔️Duh aiseee inahusu elimu nafikiri hiyo sema kueka namba za watu hapa jau Mr hila zipo
[emoji3][emoji3][emoji3] endelea kupambana mkuuNajiuliza sana hivi sisi raia Tanzania shida yetu ni ipi?, nimeomba utaratibu wa kuonana na MH: rais Dr Samia lakini hadi muda huu nakatishwa tamaa kuwa haiwezekani.
Ni nani anae tambua hii project proposal nayo omba imfikie ita leta impact chanya kwa kizazi Cha sasa na badae?
Nimeumia sana, nataman kulisaidia taifa langu pedwa Lakini nafasi na kosa, honestly roho inaniuma sana.
I love you Tanzania
Land of Kilimanjaro and Zanzibar
kwa Mungu wa taifa langu .
Ndio mimi mkuu, lakini mkuu taifa letu linahitaji healing kubwa sana. Naumia sana mkuuHivi ndio wewe ulotaka kufanya utafiti wa kutikisa dunia!?
Natumae hatimaye ulipata muongozo.
Komaa, utamuona tu ✅
Mimi naungana na wewe katika hii petitionNdio mimi mkuu, lakini mkuu taifa letu linahitaji healing kubwa sana. Naumia sana mkuu
Unataka utufanye nini kwan wenzioNdio mimi mkuu, lakini mkuu taifa letu linahitaji healing kubwa sana. Naumia sana mkuu
AMEN 🙌Mimi naungana na wewe katika hii petition
Naomba wahusika huyu bwana professional ethics aonane na Rais
Ningekuwa nishapewa kitengo cha Mshauri wa Rais vijana: fasta ningeshamshauri aweke utaratibu wa vijana wanaotaka kuonana naye waweze kufanya hivyo.
Tatizo ndo bado, ila usijali utamuona tu
Wakuu habari za jioni.
Ni mimi kijana mzalendo wa taifa langu, pia mwanafunzi hapa mlimani , ndugu Wana jf nahitaji kuonana na MH: Daktari Samia Suluhu Hassan nipo na project proposal ya muhimu Sana ambayo itakwenda kuliokoa taifa hili na watu wote kwa ujumla.
Najua wengi mtanidhihaki Lakini naomba mnipe utaratibu jinsi ya kuonana na Dr. Samia Suluhu Hassan.
Sihitaji middlemen, mana naona watachelewesha kuifanyia kazi project hii.
Ni muhimu Sana document hii aipate, kama si hivyo nipeni mawasilianao ya waziri wa Elimu.
Huyu kagaragara humu jf hadi kaacha kuandika namba ya simu, sijui kama atasaidia.Lucas mwanshamba anaweza kukusaidia
Nimefanya tafiti ya/za kutosha juu ya hii issue. Hivyo nipo assured na project hii.Umejuaje kama project yako ni muhimu.?
Watu wengi wanaosema wanataka kuonana na rais kwa sababu wana jambo muhimu huwa mara nyingi wanakuwa na ugonjwa wa akili. Mtu kama wewe utakuta una makaratasi yaliyoandikwa maandishi ambayo hata hayaeleweki na pengien unajumbe unaotaka kumpelekea ni kuwa umetumwa na mizimu kwenda kumpa ujumbe.Najiuliza sana hivi sisi raia wa Tanzania shida yetu ni ipi? nimeomba utaratibu wa kuonana na Rais Samia lakini hadi muda huu nakatishwa tamaa kuwa haiwezekani.
Ni nani anayetambua hii project proposal ninayo omba imfikie italeta impact chanya kwa kizazi cha sasa na baadaye?
Nimeumia sana, natamani kulisaidia taifa langu pedwa Lakini nafasi na kosa, honestly roho inaniuma sana.
I love you Tanzania
Land of Kilimanjaro and Zanzibar
Kwa Mungu wa taifa langu.
SawaWatu wengi wanaosema wanataka kuonana na rais kwa sababu wana jambo muhimu huwa mara nyingi wanakuwa na ugonjwa wa akili. Mtu kama wewe utakuta una makaratasi yaliyoandikwa maandishi ambayo hata hayaeleweki na pengien unajumbe unaotaka kumpelekea ni kuwa umetumwa na mizimu kwenda kumpa ujumbe.
Ana account humu, Instagram, twitter, nk kote yupo mfuate PM funguka MamaSamia2025 una mgeni wako hapaSihitaji middlemen, mana naona watachelewesha kuifanyia kazi project hii.
Ni muhimu Sana document hii aipate, kama si hivyo nipeni mawasilianao ya waziri wa Elimu.
Hivi hii ndio ile ID nyingine??Najiuliza sana hivi sisi raia wa Tanzania shida yetu ni ipi? nimeomba utaratibu wa kuonana na Rais Samia lakini hadi muda huu nakatishwa tamaa kuwa haiwezekani.
Ni nani anayetambua hii project proposal ninayo omba imfikie italeta impact chanya kwa kizazi cha sasa na baadaye?
Nimeumia sana, natamani kulisaidia taifa langu pedwa Lakini nafasi na kosa, honestly roho inaniuma sana.
I love you Tanzania
Land of Kilimanjaro and Zanzibar
Kwa Mungu wa taifa langu.
Sasa baada ya kuwa hivi 🤯Hila❌ Ila✔️