Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Labda kumwona MAKONDA. Mwashambwa anampenda sana Makonda.Lucas mwanshamba anaweza kukusaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kumwona MAKONDA. Mwashambwa anampenda sana Makonda.Lucas mwanshamba anaweza kukusaidia
Huyo hafahamiki kokote ndo maana daily unamwona anaweka namba ya simu ili apigiwe. Wame muignore tuMcheki Lucas mwashambwa bila shaka ana mawasiliano nae.
Lazima wapitie hata yeye aliwahi kusema anapitiaHivi wasaidizi wake hua wanapitia kweli?
Umeshauriwa kwenye bandiko lako weka mawasiliano yako ili wasaidizi wake wakufikie wakiona inafaa au hata yeye huwezi kujuaNajiuliza sana hivi sisi raia wa Tanzania shida yetu ni ipi? nimeomba utaratibu wa kuonana na Rais Samia lakini hadi muda huu nakatishwa tamaa kuwa haiwezekani.
Ni nani anayetambua hii project proposal ninayo omba imfikie italeta impact chanya kwa kizazi cha sasa na baadaye?
Nimeumia sana, natamani kulisaidia taifa langu pedwa Lakini nafasi na kosa, honestly roho inaniuma sana.
I love you Tanzania
Land of Kilimanjaro and Zanzibar
Kwa Mungu wa taifa langu.
Niliongea nae kwa njia ya sim. Yeye akiwa bongo na mimi nikiwa kwa Madiba 😂Samia anakaa kwa Madiba?
Hilo ni lichawa ambalo halijawahi kupata nafasi ya kumkaribia raisi hata kwa hatua hata 500Mcheki Lucas mwashambwa bila shaka ana mawasiliano nae.
Haya bn we danganya umaNiliongea nae kwa njia ya sim. Yeye akiwa bongo na mimi nikiwa kwa Madiba 😂
Kwamba umeweka hapo Tz na Zanzibar ili uchekiwe fasta kwa kuwa mama ni Mzanzibery wabongo banaNajiuliza sana hivi sisi raia wa Tanzania shida yetu ni ipi? nimeomba utaratibu wa kuonana na Rais Samia lakini hadi muda huu nakatishwa tamaa kuwa haiwezekani.
Ni nani anayetambua hii project proposal ninayo omba imfikie italeta impact chanya kwa kizazi cha sasa na baadaye?
Nimeumia sana, natamani kulisaidia taifa langu pedwa Lakini nafasi na kosa, honestly roho inaniuma sana.
I love you Tanzania
Land of Kilimanjaro and Zanzibar
Kwa Mungu wa taifa langu.
Ungekuwa na akili ungeweka na namba yako ya simu angeweza kukupigia direct. Ni vile huna akili huo mpango wako umefeli kwa sababu ya kukosa maarifaWakuu habari za jioni.
Ni mimi kijana mzalendo wa taifa langu, pia mwanafunzi hapa mlimani , ndugu Wana jf nahitaji kuonana na MH: Daktari Samia Suluhu Hassan nipo na project proposal ya muhimu Sana ambayo itakwenda kuliokoa taifa hili na watu wote kwa ujumla.
Najua wengi mtanidhihaki Lakini naomba mnipe utaratibu jinsi ya kuonana na Dr. Samia Suluhu Hassan.
Sihitaji middlemen, mana naona watachelewesha kuifanyia kazi project hii.
Ni muhimu Sana document hii aipate, kama si hivyo nipeni mawasilianao ya waziri wa Elimu.
Hapo chuoni tafuta Proffessor yeyote wa hicho unataka mkabidhi hiyo proposal akiielewa usihofu itafika ikulu tu na wewe utaitwaWakuu habari za jioni.
Ni mimi kijana mzalendo wa taifa langu, pia mwanafunzi hapa mlimani , ndugu Wana jf nahitaji kuonana na MH: Daktari Samia Suluhu Hassan nipo na project proposal ya muhimu Sana ambayo itakwenda kuliokoa taifa hili na watu wote kwa ujumla.
Najua wengi mtanidhihaki Lakini naomba mnipe utaratibu jinsi ya kuonana na Dr. Samia Suluhu Hassan.
Sihitaji middlemen, mana naona watachelewesha kuifanyia kazi project hii.
Ni muhimu Sana document hii aipate, kama si hivyo nipeni mawasilianao ya waziri wa Elimu.
Wakuu habari za jioni.
Ni mimi kijana mzalendo wa taifa langu, pia mwanafunzi hapa mlimani , ndugu Wana jf nahitaji kuonana na MH: Daktari Samia Suluhu Hassan nipo na project proposal ya muhimu Sana ambayo itakwenda kuliokoa taifa hili na watu wote kwa ujumla.
Najua wengi mtanidhihaki Lakini naomba mnipe utaratibu jinsi ya kuonana na Dr. Samia Suluhu Hassan.
Sihitaji middlemen, mana naona watachelewesha kuifanyia kazi project hii.
Ni muhimu Sana document hii aipate, kama si hivyo nipeni mawasilianao ya waziri wa Elimu.