Mkuu umeongea ukweli mchungu sanaUnamuita pisi wwngune wanajua ni malaya na wanamnunua,So tofauti ni bei ya kununulia tu yako inakuwa chini au juu
Umeona mbali na ile clip ya mdada alitaka kuombwa namba na jamaa ,sema msela hana time[emoji28].
Watu washajitambua.Men are done. Complication zinazokuja na kuomba namba ni nyingi
[emoji1][emoji1][emoji23]Mkuu afu3 unapata mpaka maji ya kuoga?????
condom 500
maji ndoo 200
sabuni 100
mafuta kujipaka 100
chumba 600
utelezi 1500
β’β’β’β’β’β’β’β’
3000
β’β’β’β’β’β’
Sio kidogo .Inakera sana
Huyu Mwanamke anaonekana ana maji ya kutosha.. nyieeeWatu hawana shobo tena na mademu ni mikausho mikali .
Sahihi,shida wakitongozwa wanataka hela afu miyeyusho ni mingiHii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
mie nimesema ukosefu wa pesa sio hela, ukiwa na hela huwezi tongoza ila ukiwa na pesa nguvu ya kutongoza unakuwa nayo na kujiamini piaMmmh mbona wenye Hela ndio hatuna muda kabisa wa kutongoza
Tatizo kubwa ni utu wa mtu umekuwa ni pesa, ndio maana mtu anaona isiwe tabu kila mtu abaki na chake.Tatizo ni mmeshazoea kuona vilivyotakiwa viwe ndani Sasa vipo wazi...
Kweli bwana...maradhi hazina kwanini ninunue shangingiπ€π€π€ alisikika bwana mmoja kutoka safari ya mbali.....Watongozaji sasa wanamjukumu mazito juu ya familia zao!!
Binafsi kuliko nitongoze mpita njia nimpe 20k anipe gono/nuksi, Bora pesa hiyo ni bebee watoto wangu nyama kilo,mkate na blueband ππ
Mtasema mimi m'bahili, sina pesa, but I don't care ππππ
Siku hizi kuna Prestige margarine, blueband inasubiri.Watongozaji sasa wanamjukumu mazito juu ya familia zao!!
Binafsi kuliko nitongoze mpita njia nimpe 20k anipe gono/nuksi, Bora pesa hiyo ni bebee watoto wangu nyama kilo,mkate na blueband ππ
Mtasema mimi m'bahili, sina pesa, but I don't care ππππ
2010 wewe Ni rapist, unaitafuta jela.Tunatongoza new generation kuanzia 2000-2010
We hujui tu kuna watoto wa 2010 na huwezi dhania2010 wewe Ni rapist, unaitafuta jela.
NakaziaWatongozaji sasa wanamjukumu mazito juu ya familia zao!!
Binafsi kuliko nitongoze mpita njia nimpe 20k anipe gono/nuksi, Bora pesa hiyo ni bebee watoto wangu nyama kilo,mkate na blueband ππ
Mtasema mimi m'bahili, sina pesa, but I don't care ππππ
2013 sawasawa na 13 years old, ambayo yuko standard six, usijitowe akili kiasi hicho.We hujui tu kuna watoto wa 2010 na huwezi dhania