Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Umetisha mkuu [emoji123]
 
Mahandaki na harufu za madawa ya Kinga ni kitu hutamani kukutana nayo, steak inatema kama nyama Oza,I can't torelate.
 
Zamani walihangaikiwa kwa shauku kubwa ili kuwafanya wawe wake zetu wakae ndani,
Kwani walikuw na sifa za kuwa wake ila hawa wasasa washapoteza sifa za kuwa wake na usumbufu mwingi + wapo kimaslahi zaid

Kwahy hawana tofauti na machangudoa sasa c bora ukanunue tu changudoa ukipiga unapita kwahivi maisha mengne yanasonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…