bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,100
- 2,491
If that uko vizuri Sana Mungu akupiganie zaidi Nash.Asante mkuu. Sijawahi mpenda mwanaume kwa ajili eti ananipa hela. Sijawahi omba sijui hela ya kodi, gesi, kusuka etc.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If that uko vizuri Sana Mungu akupiganie zaidi Nash.Asante mkuu. Sijawahi mpenda mwanaume kwa ajili eti ananipa hela. Sijawahi omba sijui hela ya kodi, gesi, kusuka etc.
Naomba namba yako nitumie PM, nimechoka vizinga.Asante mkuu. Sijawahi mpenda mwanaume kwa ajili eti ananipa hela. Sijawahi omba sijui hela ya kodi, gesi, kusuka etc.
Umetisha mkuu [emoji123]Kuna binti mmoja nisha toka naye kama Mara 3 hivi,sasa toka mwezi April hatujakutana mwezi uliopita tukupoonana nikamwambia nimemis mambo yetu-akaniambia ni wewe tu hata kesho.Nikamudanganya Mimi sasa hivi sipo vizuri financially basi wewe lipia lodge twende zetu-manzi akasema yani Mimi nitafute hela kwa shida halafu nitumie hela yangu nilipe lodge nikalale na Mwanaume nikamuuliza kwani kuna shida gani ukilipa kwa ajili ya mimi mpenzi wako-akasema that will never happen.
Tokea siku ile nilimpotezea na kum delete kichwani kabisa ,juzi kanipigie ananiomba 200K,nikampa makavu nikamwambia hata Mimi natafuta pesa kwa jasho kama wewe siwezi kutoa hela yangu kwa mwanamke asiye thamini urafiki wetu.
Wanawake viumbe wa ajabu sana,hela yake yeye ina umuhimu,ya Mwanaume ndio anaona haina maana.
Mahandaki na harufu za madawa ya Kinga ni kitu hutamani kukutana nayo, steak inatema kama nyama Oza,I can't torelate.Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Sijaona mtu anazungumzia kuongezeka kwa harufu za sehemu za siri kama moja ya sababu.
Dah hata mimi nimeiona mkuu.Umeona mbali na ile clip ya mdada alitaka kuombwa namba na jamaa ,sema msela hana time[emoji28].
Mabadiriko Tabia nchi kama alovyosema Glacier MachelMizuka ya kutongoza imekwisha siku hizi
Sasa kuhonga sii ni Bora kununua kifurushi cha siku moja unapita nacho hakuna mambo ya simu wala nini.Utapewa mlolongo mrefu as if umekuwa mtumwa.Ndo ukweli chamuhimu honga kwa level yako.
Huogopi wewe vizinga 😅😅
Tulia nikutongoze, vizinga kawaida sana...Huogopi wewe vizinga 😅😅
🤣🤣🤣🤣 Basi mtongozo uende sawa na miamalaaa kusomaTulia nikutongoze, vizinga kawaida sana...
Kama hicho ndiyo chambo sawa, wacha nirushe mshipi unase...🤣🤣🤣🤣 Basi mtongozo uende sawa na miamalaaa kusoma
Mzee mwenye PhD yake🤣🤣🤣Hatari sana, mimi sijawahi kuchoka kutongozo...