ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Utakufa itapita miaka b 10 hakuna hicho kitu kinachoitwa kiama kitatokea.Moja katika dalili za kiama, (siku zamwisho za ulimwengu) kutakuwa na idadi kubwa sana ya wanawake kuliko wanaune,.
Itafika wakati mwanaune mmoja unaweza kuwa na hata wanawake zaidi ya 10 na bado wakabaki wengi tu ambao hawana wanaune,
.na katika mapokezi mengine ni mwanaune mmoja kwa wanawake 50 , hiyo ni rate
Source : prophet Muhammad (rehma na Amani zimshukie)
Kwahiyo usishangae hayo, yatatojea na huu ni nwanzo tu, ndo kwaanza panaanza,
Umemalza mkuu..utafnya maendeleoWanawake mahitaji yao yameongezeka kwahiyo ukijifanya kichwa maji utakalia kufanya kaz pesa inaishia kwa mwanamke tu ambae huna future nae yoyote
Sasa hapo tutacomment nini kwa mfano?
Wanaume wamechagua style ya maisha yao na wameona kuwa ni sawa kuishi hivyo.
Zama za leo wanaume wengi wanashindana na wanawake, wanasuka nywele, wanavaa hereni, wanafanya makeup, utakuta mwanaume ananukia marashi ya kike!
Ukichanganya na nyimbo zao za sasa za kulalamika, hizo nguvu za kutongoza watazitoa wapi?
Yaaap sasa unatongoza ukaone nini ikiwa unaona kila kitu bila kutongoza!!Tatizo ni mmeshazoea kuona vilivyotakiwa viwe ndani Sasa vipo wazi...
Wapiga kavu kavu utawajua tu,Jamani ukimwi bado upo condom buku tu.Watongozaji sasa wanamjukumu mazito juu ya familia zao!!
Binafsi kuliko nitongoze mpita njia nimpe 20k anipe gono/nuksi, Bora pesa hiyo ni bebee watoto wangu nyama kilo,mkate na blueband [emoji1][emoji1]
Mtasema mimi m'bahili, sina pesa, but I don't care [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Donatila ulilolisema linachangia sana tu, lakini ukiongeza na hili hapa chini, kutongoza kunaisha.Tatizo ni mmeshazoea kuona vilivyotakiwa viwe ndani Sasa vipo wazi...
Bila kutaja hilo chimbo la afutatu post yako ni ubatiliMwanamke ukimtongoza tu,jiandae kwa vizingi,sasa usawa huu wa kujitafuta nianze kuhonga pesa kisa mbunye wakati nikiwa na aftatu napata utelezi.
Mtu unamwingia kwa hisia za mapenzi yeye anawaza madeni ya vikoba,songesha, tala na mikopo umiza.Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Ukitogoza asubuhi jioni unapigwa kizingaMwanamke ukimtongoza tu,jiandae kwa vizingi,sasa usawa huu wa kujitafuta nianze kuhonga pesa kisa mbunye wakati nikiwa na aftatu napata utelezi.
Inakera sanaUkiacha kutongoza vipesa vyako vinasalimika , kwa hiyo uchague kubaki na pesa zako ama kuziondoa kwa neno nakupenda tu.
Hahaha, mkuu ulifaa sana kuwa mwalimu wa fasihi.Mkuu umeongea kwa jazba ukiwa umekaza macho machozi yakikulenga na ukifoka huku ukirusha mate
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapewa vyote,watoto wa mjini wanasema anakususia[emoji28]
Ukimaliza tu kutongoza ana Anza kukubebesha majukum hapo hapoTongoza halafu baada ya nusu saa vocha imeisha, hana hela ya kula n. k
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Unamuita pisi ww wengine wanajua ni malaya na wanamnunua,So tofauti ni bei ya kununulia tu yako inakuwa chini au juuKabisa mkuu uanze kuhudumia mtu aisee.hali ya maish ngumu ila wanaume wengi wananunua malaya wengi atuna uwezo wakumilik pisi.
Kwan uongo nduguzangun?