Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

huna akili ww,leo ndo wanafanya uzinduzi, sio lazma wote tuwasikilize wasafi unaweza endelea wasikuliza hao wengne kuna zaid ya redio station 100 Tz bara
 
Gentamycin Antibiotic ulijifunzia wapi kutiririka maneno yanakaribiana na matusi! I can guess umezaliwa na kukulia Tandika Kilima Hewa,aua Vingunguti ,Mwembe Sikinde au Buguruni kwa ....,au pengine Kawe Ukwamani kama si Kinondoni Mtaa wa Sekekenke! 🤔🙂🙂🙂
 
Nilitegemea leo nitamsikiliza Maulid wa Kitenge.

Kesho nitajitahidi.

Mkuu kipindi kilianza saa ngapi ukiachana na hiyo saa mbili waliyoipa promo toka week iliyopita?
 
notisi zote hizi mwamba!!!..jua kufanya muhtasari

Zinakusumbua nini? Mimi Kujieleza Kwangu kwa Kirefu na kwa Utuo pia Wewe ' Mpuuzi / Popoma ' Kunakuuma nini? Hivi Simon Msuva ( inamankusweke ) anaweza Kumfundisha Mpira na Kumpa Maelekezo Lionel Messi ( GENTAMYCINE ) na akaeleweka? Jifundishe Kwanza Wewe jinsi ya kutumia Akili vizuri na zikiwa zimekukaa vyema unaweza ukarejea Kwangu sawa?
 
mwendawazimu huona wazima ndiyo wendawazimu kwa kutupa chakula kizima(kibovu) jalalani,kushindwa kufanya muhtasari ni dalili ya ufahamu finyu
 
Mkuu ratiba za watu tofauti what if kama yuko likizo au anaingia shift ya mchana au yuko kwenye gari akisikiliza au anauza duka lake huku akisikiliza.....

Kuna Watu wanataka Kulazimisha Maisha yao ndiyo lazima yawe ya wengine. Yaani ' Bando ' la Kuniwezesha Mimi kuwepo 24/7 hapa JamiiForums nihangaike Kulitafuta Mwenyewe halafu unakuta ' Nguchiro ' Mmoja anataka Kunipangia jinsi ya Kuishi utadhani Yeye labda ndiyo huwa ' namkojolea ' Mimbegu yangu ya ' Kutukuka ' nikimaanisha ni Mke wangu.

Hongera kwa Kuzidi Kumuelimisha huyo ' Popoma ' Mkuu.

Cc: tang'ana
 
saa 2 asubuhi badala ya kumpikia chai mumeo awahi kazini unasikiliza redio, utapewa talaka, shauri yako

Wewe tokea nikujue kuwa ni Mtani wangu Mzuri wa Klabu ya Yanga wala hunipi taabu na sikupigi tena ' Madongo ' yangu badala yake sasa umekuwa na utakuwa tu Rafiki yangu ila kwa hawa ' Mapopoma ' wengine ambao huwa wanakuwa na Kiherehere na wanapenda kujaa hovyo katika ' Frame ' ndiyo watanikoma na nitawanyoosha kweli kweli hadi wakae sawa.
 
Ni nani ?

Hata Mimi natamani mno Kumjua japo ninachojua tu ni kwamba hapa JamiiForums kuna ' Member ' maarufu aitwae An Eagle lakini huyu EAGLE ndiyo namwona leo ila kama yupo basi ni jambo la kheri pia. Nampenda sana na namkubali mno huyo ' Member ' sijui An Eagle hadi imelazimika sasa niige hadi ' Fonts ' zake.
 
mwendawazimu huona wazima ndiyo wendawazimu kwa kutupa chakula kizima(kibovu) jalalani,kushindwa kufanya muhtasari ni dalili ya ufahamu finyu

Fanya hima utafute Dawa za Kutuliza ' Uwendawazimu / Utaahira ' ambao taratibu naona unaanza Kukomaa ' Ubongoni ' mwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…