BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Unajua Ule mkataba wa kupunguza Silaha za Nucler kati ya USA na Urusi ni nani aliutaka? Shida mmejaa ushabiki mavi tu hakuna mnacho juaHizi ni mbwembwe kama kawaida yake kuwatishia eti ana nyuklia kali asi wengine wamelala. Kwanza amewasidia kujua ana silaha gani.
We sikiliza, Vita ya Urusi na Nato haitahusu Vifaru wala Askari wa nchi kavu, usha ambiwa itahusu kubadilushana nucler, Vifaru na zile meli za Kubeba ndege ni kwa ajili ya kupigana vita ndogo ndogo hizi, Vita kubwa zitakuwa ni Inter continental Balistoc Missaile tu.Kuna wakati hata naogopa kucoment maana mtu hata hajui Geographic ya Urusi na ulaya kwa ujumla anasema Urusi imezungukwa.
Mtu anafikiri URUSI ni kama Burundi. Hilo taifa Lina zaidi ya 1000 years na siku zote wanajua wapi vitani ya kuangushwa na kusambaratika. Hiyo hazijawahi na haitotokea.
Pili Kuna watu wanafikiri nyuklia zinazozungwa hapa ni vitoi. Hebu google comment za generals mbalimbali wa nchi za ulaya na NATO kwa ujumla kuhusu nyuklia war and Russian technology specifically.
Mwisho kwa Sasa Russia hakuna vita ndio maana maisha yao yanaendelea kama kawaida. Vita ipo maeneo yaliyokuwa zamani Ukraine na only 500,000 ya wanajeshi wake kwenye operation ya Kiev. Zaidi ya 1m wapi sehemu zingine wanalinda mipaka. Ndio maana wanafanya drills mbalimbali wanenda nchi zingine n.k kudhani eti wanajeshi wake wamechoka ni kijidanganya.
Vifaru main battle tank(5 generation) havipo msari wa mbele maana yake Bado hajatumia all resources.
Hao NATO wote uchumi wao uko hatarini maisha ya raia wao yameporomoka. Wakisema waingie vitani raia wao wataandamana na natabiri USA wataingia kwenye civil war
Inaonekana hajui hata kama uchumi w Russia umeupita ule wa Ujerumani?Kwa akili yako unadhani putin au urusi mtu wa kawaida
Umajua pamoja na vikwazo walivyomuwekea still uchumi wake umeimarika?
Kwa sasa urusi ni fourth biggest economy duniani
NATO pia wanatambua Urusi ana ant satelite weapons, muda wowote URUSI anaweza kushusha chini satelite, au kuzijam, So Kabla NATO hawajapigana na Urusi lazima wagundue techinolojia ya kuzuia silaha za kulipua Satelite, Pia lazima Ulaya iwe na Mitambo ya kisasa ya kuzui makombola ya nuclear kwa sasa hawana na mwisho lazima wajue itakuwa ndio vita ya mwisho.Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.
Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.
Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.
Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.
Wazungu wana akili sana
Pia anazania kupigana na Urusu itakuwa ni sawa na kupigana na IraqKuna wakati hata naogopa kucoment maana mtu hata hajui Geographic ya Urusi na ulaya kwa ujumla anasema Urusi imezungukwa.
Mtu anafikiri URUSI ni kama Burundi. Hilo taifa Lina zaidi ya 1000 years na siku zote wanajua wapi vitani ya kuangushwa na kusambaratika. Hiyo hazijawahi na haitotokea.
Pili Kuna watu wanafikiri nyuklia zinazozungwa hapa ni vitoi. Hebu google comment za generals mbalimbali wa nchi za ulaya na NATO kwa ujumla kuhusu nyuklia war and Russian technology specifically.
Mwisho kwa Sasa Russia hakuna vita ndio maana maisha yao yanaendelea kama kawaida. Vita ipo maeneo yaliyokuwa zamani Ukraine na only 500,000 ya wanajeshi wake kwenye operation ya Kiev. Zaidi ya 1m wapi sehemu zingine wanalinda mipaka. Ndio maana wanafanya drills mbalimbali wanenda nchi zingine n.k kudhani eti wanajeshi wake wamechoka ni kijidanganya.
Vifaru main battle tank(5 generation) havipo msari wa mbele maana yake Bado hajatumia all resources.
Hao NATO wote uchumi wao uko hatarini maisha ya raia wao yameporomoka. Wakisema waingie vitani raia wao wataandamana na natabiri USA wataingia kwenye civil war
Wamasai wameingiaje kwenye ushoga wako?"wazungu wana akili sana" mtoa mada mrusi sio mzungu? Au me cjui anyway mmasai ni mmasai tu si mtu
Kwani Putin ni mmakonde?
Ulifikiri umeuliza swali la maana, ila unajua wanaojiita ni wazungu (whites) huko Ulaya wanatoka nchi zipi?"wazungu wana akili sana" mtoa mada mrusi sio mzungu? Au me cjui anyway mmasai ni mmasai tu si mtu
Unapotoa hoja usidanganye sema ukweli. Maana ni aidha Mimi ni Muongozo au wewe. Sasa weka ukweli wakoUnapenda tu ubishi
so nchi zipi sema nchi gani? acha ujuajiUlifikiri umeuliza swali la maana, ila unajua wanaojiita ni wazungu (whites) huko Ulaya wanatoka nchi zipi?
Kama ni mbwembwe mbona hawajasogea mpaka leo! Hii tayari ni failure kwa NATO na ndio mwisho wa NATO. Historia imeshajiandika tusubiri kuisoma tuHizi ni mbwembwe kama kawaida yake kuwatishia eti ana nyuklia kali asi wengine wamelala. Kwanza amewasidia kujua ana silaha gani.
kwani Putin alisema hawezi kupigwa na NATO?Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.
Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.
Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.
Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.
Wazungu wana akili sana
Jifunze kupangalia sentensi kabla ya kuanza ubishi .so nchi zipi sema nchi gani? acha ujuaji
Shule zipi tena.Kwamba Urusi imezungukwa na NATO? Shule zifunguliwe tu!
PyeeeeeWazungu wana akili sana
Huna Akili nenda Shule ukasome wagagagigikokoShule zipi tena.
FactPutin alikosa busara,alidhani nchi za Magharibi hazitaungana hasa Ujerumani na Ufaransa kumdhibiti Putin.
Akategemea China huku China yenyewe inajua kuunga Putin ni kuwekewa vikwazo vya kubiashara na nchi za Magharibi.
Vile vile China anataka Russia dhaifu.
Kuungwa mkono na nchi za kiafrika hakuna impact ya kiuchumi wala kijeshi.
Iran nayo fuata mkumbo na drones zake ameishapoteza President Raisi.
Uturuki yeye anakula na kupuliza.
Kiduku wa Korea Kaskazini yeye anataka kufa na mtu siyo ishara nzuri kwake kwani Japan na Korea Kusini,Taiwan,Australia na Marekani wameongeza nguvu ya kivita kumdhibiti Kim.