Gabby msafi
Member
- Apr 28, 2023
- 66
- 93
Tafuta chumba kama unahela aga Kwa amani nyumbani i
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo chomoka fasta utakula mihogo lakini utakaa sawa tu na ipo siku utaiona fursa ya unachofanyiwa sasaHapana mkuu unajua kuna maneno mzazi akiyaongea unajua kabisa hapa mzazi anakunyanyasa hivi kweli mimi na umri wangu huu niachae mavi chooni hebu mkuu think twice, sikuwahi kuambiwa hivi hapo nyuma. Na suala la kuanza kupanga chumba tayari nimeshaweka mipango yangu fresh nina akiba yangu ya boom kama 200k nahisi itanitosha kabisa kuanzia maisha
Kabisa mkuu apa nasubiria boom la awamu ya pili linatoka mwezi huu nikijumlisha na akiba yangu ya 200k natoboa kigheto kibishi yaaniHapo lazima utoboe. Geto la 50K unalipa kuanzia miezi 4 au 6 kabisa. Unanunua godoro lako la tano kwa sita inches 6 linatosha unalitandika chini, pazia nunua zile za bei nafuu kabisa najua chumba kitakuwa na dirisha moja.
Then tafuta mama ntilie aliyekaribu na wewe kaweke bili ya chakula cha mchana na usiku kwa mwezi m'moja haitakuwa pesa nyingi inaweza kuwa hata 60,000. Halafu unaweza nunua hata mtungi wa gesi au jagi la umeme unakuwa unachemshia chai asubuhi kama unapenda kunywa chai asubuhi.
Life litaenda utazoea then utaendelea kujiimarisha as life inasonga mbele.
Najua mkuu sema nilijisahau nishastuka maza hanitaki kikubwa kusepaUle msemo wa akufukazae hwakwambii toka, ulifikili ni wa kujibia mtihani tuu. ndio una apply kwako sasa.
Ndio kwenye harakati za kutafuta chumba. Kama ni kuaga hawa ni wazazi wangu lazima niwaage ili nipate baraka za wazazi huko niendakoTafuta chumba kama unahela aga Kwa amani nyumbani i
Mohamedex121Usiombee uzaliwe kwenye familia ambazo historia ya wazazi wako nao walinyanyaswa na wazazi wao (bibi na babu) huwa wana revenges
Sikiliza mdogo wangu,Hamna maza sikuhizi kabadika mpaka mimi namshangaa sijui anataka nini kwangu kama anataka nijitegemee kwanini asinifukuze nijue moja sio kunifokea tena kwa sauti kubwa.
Kuchomoka muhimu ila lazima tuchomoke kimkakati sio fasta si unajua bila mipango unaweza kufeli hivo mipango muhimu kwanzahapo chomoka fasta utakula mihogo lakini utakaa sawa tu na ipo siku utaiona fursa ya unachofanyiwa sasa
Utakua ni your mom fav babyAma kweli tuna tofautiana me nakimbiza 40 hata cjawahi ambiwa nisepe home 😂
Mkuu we unaongea tu ila mimi nimeshajitahidi kufanya kazi za nyumbani kama kuosha vyombo naosha deki pia napiga hata jana pia nilipiga deki na maza akafoka ananiambia napiga deki vibaya sijui maji niliopigia ni machafu wakati maji ni masafi tu hayana shida. Na mimi kwenda kupanga nimeamua ili niepuke na kero za bimkubwa maana yeye ni mtu wa kufokea fokea bila sababu za msingi sasa naona kama kanichokaBoom linakuchanganya dogo.
Wazazi hawapendezwi na tabia zako tangu umeanza chuo.
Vijana wa kariba yako huwa ni jeuri msiopenda kukosolewa(wasomi uchwara), kuna kazi mnahisi mnadhalilishwa, mahisi mmekua hivyo mzazi hapaswi kukukoromea( elewa kua baadhi ya wazaz mtoto hata awe na 50 yrs kwao bado ni mtoto tu)..
Timiza majukumu uliyopangiwa, bado upo kwao fuata yanayokupasa, jeuri haitokusaidia.
Maisha yakikukaba koo huko ulikopanga, utaandika uzi kua wazazi wako hawakujali.
Kama unaenda kupanga basi kapange mkiwa na hali nzuri wewe na wazee wako. Waambie mpango wako wa kupanga ukiwa tayari umejirekebisha.
Tatizo kuwa nyumbani kwa wakati huu naona sina amani wala furaha so nimeamua kwenda kupanga angalau niwe huru na maneno ya bimkubwa. Kuhusu connection za vibarau nitajuwa huko huko naimani Mungu ataniongoza mkuuUsitoke hapo Kwa hsira kupanga kugumu kwakuwa una boom jipanhe kidogokidogo angalia Nini unaweza kufanya muda huu tengeneza connection za kupata hata vibarua vitavyokuwezesha ukitoka nyumbani usihangaike ukimaliza chuo ndio ukapange
kila mtu abebe shida zake 😂😂Utakua ni your mom fav baby
Ila kwa wale wengine sijui walilazimishwa kuwazaa wanasumbua sana mfano mtoa mada
Ukiwa mtoto wa mama maisha umeyapatia ila ukiwa vice versa ni hatati tena mtoa mada itakua sio fav baby ndio maanakila mtu abebe shida zake 😂😂
Najua sikuhizi nimebadilika nahisi hata wazazi wanalijua hili na kubadilika kwangu nikutoka na majukumu niliyonayo sasa hasa ukizingatia masomo chuoni nakosa muda wa kufanya kazi hasa katikati ya wiki na pia kuchelewa kurudi nyumbani sio kwamba nimeanza uhuni??hapana ni majukumu tu ya chuo yananifanya nifanye hivi maana huwa na baki mpaka saa 4 usiku na muda huo nautumia kujisomea chuoni maana kusoma home jau sana ukizingatia kelele za bimkubwa uwezi kuwa na utulivu. Sasa ndugu yangu kwa mabadiliko haya hivi ni kweli maza aanzee kukuchukia bila sababu za msingiSikiliza mdogo wangu,
Mzazi hawezi badilika bila Sababu za msingi,lazima Kuna sehemu utakuwa unamkwaza,kaa tafakari njia zako hapo nyuma na za sasa utajua tatizo Nini!
Kama mzazi anajaribu kukuweka kwenye njia iliyo sahihi,humu utashauriwa mengi,tafadhali yachuje Kabla hujafanya maamuzi.
Haya unakwenda kupanga chumba source of income ya kulipia Kodi na kula,kulipia bili za umeme na maji,vitanda na godoro ,vyombo unazitoa wapi?unafanya kazi?