Napagawa na Bati: ALAF, ANDO, DRAGON - uchaguzi mgumu. Watu wa mauzo saundi kibao!

Nahitaji pc 279 ila changamoto niliyokutana nayo ni kama yako mkuu!

Hata sijui yupi mkweli yupi mpigaji kabla sijafanya uamzi
 
Mwenye ufahamu au uzoefu na haya mabati ya rangi atupe elimu
 
 
 
Nahitaji pc 279 ila changamoto niliyokutana nayo ni kama yako mkuu!

Hata sijui yupi mkweli yupi mpigaji kabla sijafanya uamzi
Nenda ALAF. Kuna house niipaua 1994 hadisasa bati zake ni Imara na hazina kutu.
Kuhusu za rangi bado nashauri nenda ALAF ni miaka 15 nimepauwa na bati za rangi still paa lina vutia
 
Nenda ALAF. Kuna house niipaua 1994 hadisasa bati zake ni Imara na hazina kutu.
Kuhusu za rangi bado nashauri nenda ALAF ni miaka 15 nimepauwa na bati za rangi still paa lina vutia
ALAF nimewacheki bei Yao imesimama hatari. Hivi hakuna kampuni nyingine inayozalisha mabati Bora Kwa bei ya kitanzania zaidi ya hao ALAF ?
 
Nenda ALAF. Kuna house niipaua 1994 hadisasa bati zake ni Imara na hazina kutu.
Kuhusu za rangi bado nashauri nenda ALAF ni miaka 15 nimepauwa na bati za rangi still paa lina vutia
ALAF nimewacheki bei Yao imesimama hatari. Hivi hakuna kampuni nyingine inayozalisha mabati Bora Kwa bei ya kitanzania zaidi ya hao ALAF ?
 
Huwa mnatabia tenda kubwa zinazonekana mnaongeza wingi wa aluminium materiaal kwenye coating. Ila mass production kwa wanannch wa kawaida mnaweka rangi za ukumbini ambazo hazidumu 3years
 
Dragon ondoa kwenye list. Mwaka tu linakuwa limepauka
 
ALAF nimewacheki bei Yao imesimama hatari. Hivi hakuna kampuni nyingine inayozalisha mabati Bora Kwa bei ya kitanzania zaidi ya hao ALAF ?
Bei yakitanzania na Bati litakua lakitanzania

Price = Quality
 
1. Alaf
2. Sun share
3. Kiboko
4. Kinglion
Kikubwa zingatia uchukue gauge 28, kama upo karibu na bahari usijaribu kuchukua gauge 30 bati litapauka utaichukia nyumba yako
 
ALAF nimewacheki bei Yao imesimama hatari. Hivi hakuna kampuni nyingine inayozalisha mabati Bora Kwa bei ya kitanzania zaidi ya hao ALAF ?
Bei imesimama bati ya elfu 27 kwingine kule ni 41 elfu lakini nimkataba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…