Napata hisia za kumnyandua shemeji yangu

Napata hisia za kumnyandua shemeji yangu

Mimi na kupenda kwangu totoz daah sijawahi kutamani shemeji yangu hata awe ameumbika namna gani.
Bwana santos06 kwenye hili mimi sipo meli moja na wewe [emoji23]
Una akili mno. Nay wa Mitego alishaimba; 'shemeji kazima taa umemgeuza demu, we' mku ndugu yangu, unajikuta rijali hunaga cha shemu, we' mku ndugu yangu'.

Keep up bro. Huo ndiyo utu. Uhuni wetu na ukichaa wetu usifanye tukose utu na kujiona wajanja
 
Kama una hamu na wanawake oa baba

Uzinzi mbaya sana halafu mke wa mtu.

Inauma sana, vijana acheni kuwa na mazoea na wake za watu na pia kama umeoa ridhika na mke wako

Treat her well, mtoe out hata kama una hela nenda nae holiday muweke karibu.

What's wrong with you guys.

Shem apewe heshima yake na ukoilegeza kwake lazima akutongoze.

Usiwe shoulder wa kuegamiwa
Kabisa! Ulikuwa offline siku hizi 3, sijui ulipigwa ban kwa kosa lipi kaka.
 
Kabisa! Ulikuwa offline siku hizi 3, sijui ulipigwa ban kwa kosa lipi kaka.
Asante kwa kunijulia hali
Yalikuwa ni makosa upande wao

Kuna uzi jamaa alileta wa ng'ombe wa maziwa nikachangia wa kwanza kuuliza tu, nikala Ban kwa mara ya kwanza kwenye miaka 10 jf
Sijawahi kula ban ila nilihoji wakanirudisha
Phew
 
Asante kwa kunijulia hali
Yalikuwa ni makosa upande wao

Kuna uzi jamaa alileta wa ng'ombe wa maziwa nikachangia wa kwanza kuuliza tu, nikala Ban kwa mara ya kwanza kwenye miaka 10 jf
Sijawahi kula ban ila nilihoji wakanirudisha
Phew
Pole sana kaka. Nimecheka kidogo.
 
Ujue tu ukishafanikiwa kutimiza lengo lako utajilaumu kupita maelezo, itakuwa majuto yasiyo na mwisho, kila umuonapo kaka yako na hasa kama ana upendo wa dhati kwako kama mdogo wake.
Sio kaka mkuu ni mke wa rafiki yangu mmoja
 
I tell you homie Mwanamke akikuwinda unabidi kumkataa Kuna kitu anataka kufanya mission accomplish kuwa makini hiyo sio bahati usije ukajiona mjanja kutombanana na Malaya at ur age u can afford to get mwanake mwenye vision na anayejitambua pia uchafu sio mzuri weka eye sight in ur life
Ni kweli aise
 
Tukisema tusiwe na mazoea na ndugu watu wanasema roho mbaya hii yote ni kutokana kua na mazoea sasa ona mtu anatamani mke wa kaka yake halafu anajiona shababi
Mke sio wa kaka yangu ni rafiki yangu.
 
Mimi na kupenda kwangu totoz daah sijawahi kutamani shemeji yangu hata awe ameumbika namna gani.
Bwana santos06 kwenye hili mimi sipo meli moja na wewe 😂
😀😀Sema sijafafanua vizuri tu kwenye sio bro ni pisi ya msela mmoja tu ivi mwanangu kiaina fulani
 
Back
Top Bottom