Napata hisia za kumnyandua shemeji yangu

Napata hisia za kumnyandua shemeji yangu

Kama una hamu na wanawake oa baba

Uzinzi mbaya sana halafu mke wa mtu.

Inauma sana, vijana acheni kuwa na mazoea na wake za watu na pia kama umeoa ridhika na mke wako

Treat her well, mtoe out hata kama una hela nenda nae holiday muweke karibu.

What's wrong with you guys.

Shem apewe heshima yake na ukoilegeza kwake lazima akutongoze.

Usiwe shoulder wa kuegamiwa
Asinizoeee😬😬😬🚮
 
You need to be a wise man to avoid the trap that she is about to set on you dude and why to fu.ck a woman whom has happened to be your sister-in-law just to please you or her. It doesn't make sense at all to me.
 
You need to be a wise man to avoid the trap that she is about to set on you dude and why to fu.ck a woman whom has happened to be your sister-in-law just to please you or her. It doesn't make sense at all to me.
Indeed gee this situation is very contradictory, that's way nimeweka Uzi jukwaani
 
Ujue tu ukishafanikiwa kutimiza lengo lako utajilaumu kupita maelezo, itakuwa majuto yasiyo na mwisho, kila umuonapo kaka yako na hasa kama ana upendo wa dhati kwako kama mdogo wake.
Ni wa rafiki yake si wa kaka.
 
Asinizoeee[emoji51][emoji51][emoji51][emoji706]
Tena kaa nae mbali bila hasira

Ila usionyeshe hasira kwake atakugeuzia kibao
Wanawake wengine ni nyoko
Atamwambia mume wake umemtongoza
Na urafiki unakuwa uadui
Jichungeni sana na msg ni ushahidi mkubwa sana huchomoki
 
Back
Top Bottom