Napata hisia za kumnyandua shemeji yangu

Mimi na kupenda kwangu totoz daah sijawahi kutamani shemeji yangu hata awe ameumbika namna gani.
Bwana santos06 kwenye hili mimi sipo meli moja na wewe [emoji23]
Una akili mno. Nay wa Mitego alishaimba; 'shemeji kazima taa umemgeuza demu, we' mku ndugu yangu, unajikuta rijali hunaga cha shemu, we' mku ndugu yangu'.

Keep up bro. Huo ndiyo utu. Uhuni wetu na ukichaa wetu usifanye tukose utu na kujiona wajanja
 
Kabisa! Ulikuwa offline siku hizi 3, sijui ulipigwa ban kwa kosa lipi kaka.
 
Kabisa! Ulikuwa offline siku hizi 3, sijui ulipigwa ban kwa kosa lipi kaka.
Asante kwa kunijulia hali
Yalikuwa ni makosa upande wao

Kuna uzi jamaa alileta wa ng'ombe wa maziwa nikachangia wa kwanza kuuliza tu, nikala Ban kwa mara ya kwanza kwenye miaka 10 jf
Sijawahi kula ban ila nilihoji wakanirudisha
Phew
 
Asante kwa kunijulia hali
Yalikuwa ni makosa upande wao

Kuna uzi jamaa alileta wa ng'ombe wa maziwa nikachangia wa kwanza kuuliza tu, nikala Ban kwa mara ya kwanza kwenye miaka 10 jf
Sijawahi kula ban ila nilihoji wakanirudisha
Phew
Pole sana kaka. Nimecheka kidogo.
 
Ujue tu ukishafanikiwa kutimiza lengo lako utajilaumu kupita maelezo, itakuwa majuto yasiyo na mwisho, kila umuonapo kaka yako na hasa kama ana upendo wa dhati kwako kama mdogo wake.
Sio kaka mkuu ni mke wa rafiki yangu mmoja
 
Ni kweli aise
 
Tukisema tusiwe na mazoea na ndugu watu wanasema roho mbaya hii yote ni kutokana kua na mazoea sasa ona mtu anatamani mke wa kaka yake halafu anajiona shababi
Mke sio wa kaka yangu ni rafiki yangu.
 
Mimi na kupenda kwangu totoz daah sijawahi kutamani shemeji yangu hata awe ameumbika namna gani.
Bwana santos06 kwenye hili mimi sipo meli moja na wewe ๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€Sema sijafafanua vizuri tu kwenye sio bro ni pisi ya msela mmoja tu ivi mwanangu kiaina fulani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ