Ushauri wako mbn kama unanirudisha kimasihara tenaTena kaa nae mbali bila hasira
Ila usionyeshe hasira kwake atakugeuzia kibao
Wanawake wengine ni nyoko
Atamwambia mume wake umemtongoza
Na urafiki unakuwa uadui
Jichungeni sana na msg ni ushahidi mkubwa sana huchomoki
Vitabu vya dini vinasema ukimtamani mwanamke kwa kulala nae tayari umetenda dhambi. Jitakase kijana wangu omba toba, usitamani mke wa rafiki yako wala mjakazi wake wala punda wake.Sijaamua mzee ndo maana nimeleta Uzi hapa naheshimu sana ndoa ya mtu
Aise kuishi kwenye misingi ya neno mbona ngumu sanaVitabu vya dini vinasema ukimtamani mwanamke kwa kulala nae tayari umetenda dhambi. Jitakase kijana wangu omba toba, usitamani mke wa rafiki yako wala mjakazi wake wala punda wake.
Don't dare bro.Sijaamua mzee ndo maana nimeleta Uzi hapa naheshimu sana ndoa ya mtu
Vunja basi hiyo roho mama D, uokoe mtu asiende jehanamu
Komalia tu mkuu afu akikisha unapigaUzuri hawajafunga ndoa[emoji28][emoji28] au mnasemaje wadauView attachment 2508537
😀😀😀Mkuu hapo tatizo ni mimi au mke wake?Una akili mno. Nay wa Mitego alishaimba; 'shemeji kazima taa umemgeuza demu, we' mku ndugu yangu, unajikuta rijali hunaga cha shemu, we' mku ndugu yangu'.
Keep up bro. Huo ndiyo utu. Uhuni wetu na ukichaa wetu usifanye tukose utu na kujiona wajanja
Kwanza pole Kwa kula ban afu ndo tuendelee na madaKama una hamu na wanawake oa baba
Uzinzi mbaya sana halafu mke wa mtu.
Inauma sana, vijana acheni kuwa na mazoea na wake za watu na pia kama umeoa ridhika na mke wako
Treat her well, mtoe out hata kama una hela nenda nae holiday muweke karibu.
What's wrong with you guys.
Shem apewe heshima yake na ukoilegeza kwake lazima akutongoze.
Usiwe shoulder wa kuegamiwa
Hili ndio neno la LeoMITHALI 6:32
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."