Napata mashaka juu ya ahadi ya Mito ya pombe mbinguni. Kama Pombe ni chukizo kwa Allah, ni kwanini Pombe iwepo mahali patakatifu?

Napata mashaka juu ya ahadi ya Mito ya pombe mbinguni. Kama Pombe ni chukizo kwa Allah, ni kwanini Pombe iwepo mahali patakatifu?

Hapa NABISHA!! tukigonga hio kitu tuna amani sana unaweza piga stori na total stranger fureeshi na.mkapeana michongo
Mtu akikuzingua ukiwa tungi unapata hasira za haraka maana unakuwa na nguvu kidogo ya kuji controll.

Anger controll huwa tunaweza imudu kirahisi tukiwa sober tofauti na tukiwa tumelewa.
 
Mtoa wenye pombe,mabikra 72 na hapo kwa wale wanaojua umuhimu wa mdudu watasema wapewe mbuga pembeni ya mdudu.

Tutende mema wakuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unashangaa pombe ambayo Qur'an imetaja watu hawatolewa. Kuna watu wameambiwa watakuwa wanaimba na kukata viuno mwanzo mwisho bila kusimama.
 
Mtu akikuzingua ukiwa tungi unapata hasira za haraka maana unakuwa na nguvu kidogo ya kuji controll.

Anger controll huwa tunaweza imudu kirahisi tukiwa sober tofauti na tukiwa tumelewa.
Ila sio mimi 😎, this is happening now and avery evening baada ya kutoka job
 

Attachments

  • 20230420_170042.jpg
    20230420_170042.jpg
    1.1 MB · Views: 3
Divai ni kama chemikola
Unamdanganya nani!?
Waefeso 5:18
Pia msilewe divai,kwa sababu ni upotofu
Mwanzo 9:21
Siku moja nuhu akatengeneza divai.Akalewa kwayo
Mithali 23:20
Usiwe mmoja wa walevi wa divai Wala mlafi wa nyama,maana walevi na walafi wataishia kuwa masikini..
 
Mtoa wenye pombe,mabikra 72 na hapo kwa wale wanaojua umuhimu wa mdudu watasema wapewe mbuga pembeni ya mdudu.

Tutende mema wakuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu alafu huwa naskia Pombe inashukaga chini, hao mabikra itakuwaje sasa ?
 
Sijaja kwa kebehi wala maudhi ila nahitaji upembuzi juu ya hili la mito ya pombe mbinguni,

Quran 47:15 - Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya pombe yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa.

Binasfi hapa nimetathmini sana na nimepandwa na hasira, Kilicho haramu kikiruhusiwa mbinguni kuna utofauti upi sasa wa watu kula likitimoto lenye mifuta wakishushia na hizo pombe?

Naumiza kichwa na nashindwa kupata jibu, nijuavyo mimi pombe ilikaazwa hasa kwasababu hupunguza uwezo wa akili kufanya maamuzi yenye staha, haya ni baadhi ya madhara ya pombe

  • Huchochea uzinzi (huwa inashuka chini)
  • Ugomvi - hupunguza uwezo wa kucontroll hasira.
  • Kutukana matusi - Mdomo utasema unachotaka
  • addiction / uraibu
  • imefanya wengi kufukuzwa kazini hadi mawaziri
  • Kuzima
  • Kutembea kwa kupepesuka bila balance
  • kujisaidia hadharani
  • Maumivu ya kichwa

Tuajadiliane Hali hii ni vipi na inakuwaje sawa kwa Allah kuweka majaribu mbinguni?

View attachment 2594036
I love Allah and his beloved prohet soooo muuuchh. A billion kisses for them mwaaah mwaaah mwaah 😘😘😘😘💕💕💕❤️❤️

Gavana inamankusweke hydroxo ielewemitaa The Icebreaker
 
Chalii angu pombe sio dhambi sema yafuatayo baada ya kulewa ndio mzozo, ukiweza kunywa na usilete miyeyusho yeyote bas aina shida
 
Kabla ya yote inabidi ujue haya maneno
1/Haramu
2/Dhambi
3/Kosa
4/Matusi
5/Kufuru
6/Na vitu vyote vibaya

Hivi vitu ni vya hapa tu Duniani, Dunia ni sehemu ya mtihani hivi vitu umewekewa Kama mtihani uweze kufudhu POMBE ni nzuri, tamu na ina sterehesha ila umeambiwa usinywe Ni haram Kama mtihani hapa Duniani ufudhu ila pombe hiohio inaweza kuwa peponi ikawa halali kabisa

Peponi hakuna makosa, dhambi, haramu nk neno zinaa, uzinzi, matusi ni vitu vya Duniani tu kupewa mitihani...njaa, misukosuko, ugumu wa maisha, jobless, kuyumba kwa mtaji, kuoigana, hasira vyoooote havipo peponi peponi ni sehemu ya malipo, starehe na kula bata tu.

Kitu kingine inabidi ujue maisha ni kesho peponi/motoni yaani kimsingi ukipima muda tunaoishi Duniani mfano kwa Sasa wengi maximum Ni miaka 100 tunakufa ila peponi tunaishi zaidi ya miaka 1000000000000000+ yaani ni hakuna kikomo na katika miaka hio isiyo na kikomo Kama pombe unakunywa, utafanya Mapenzi na wanawake wengi zaidi ya 20 Sasa nikuulize ujanywa pombe kwa muda wa miaka 80 Duniani ila unakunywa pombe kwamuda wa miaka 100000000000000+ (isiyo na kikomo peponi) je hapo pombe Ni halamu au halali jibu👇

Pombe ni halali ila kwa muda huu mfupi hapa Duniani Mungu ameichagua iwe moja ya mtihani kati ya mitihani ambayo tumepewa tujizuie kufanya/kutumia.....means kwa mwenye imani na anayependa kweli pombe ni yule anayejizuia hapa Duniani kwa muda wa miaka 70,80 hili akainywe kwa miaka isiyo na kikomo.
 
Sijaja kwa kebehi wala maudhi ila nahitaji upembuzi juu ya hili la mito ya pombe mbinguni,

Quran 47:15 - Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya pombe yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa.

Binasfi hapa nimetathmini sana na nimepandwa na hasira, Kilicho haramu kikiruhusiwa mbinguni kuna utofauti upi sasa wa watu kula likitimoto lenye mifuta wakishushia na hizo pombe?

Naumiza kichwa na nashindwa kupata jibu, nijuavyo mimi pombe ilikaazwa hasa kwasababu hupunguza uwezo wa akili kufanya maamuzi yenye staha, haya ni baadhi ya madhara ya pombe

  • Huchochea uzinzi (huwa inashuka chini)
  • Ugomvi - hupunguza uwezo wa kucontroll hasira.
  • Kutukana matusi - Mdomo utasema unachotaka
  • addiction / uraibu
  • imefanya wengi kufukuzwa kazini hadi mawaziri
  • Kuzima
  • Kutembea kwa kupepesuka bila balance
  • kujisaidia hadharani
  • Maumivu ya kichwa

Tuajadiliane Hali hii ni vipi na inakuwaje sawa kwa Allah kuweka majaribu mbinguni?

View attachment 2594036
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom