Napata mashaka juu ya ahadi ya Mito ya pombe mbinguni. Kama Pombe ni chukizo kwa Allah, ni kwanini Pombe iwepo mahali patakatifu?

Napata mashaka juu ya ahadi ya Mito ya pombe mbinguni. Kama Pombe ni chukizo kwa Allah, ni kwanini Pombe iwepo mahali patakatifu?

Sijaja kwa kebehi wala maudhi ila nahitaji upembuzi juu ya hili la mito ya pombe mbinguni,

Quran 47:15 - Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya pombe yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa.

Binasfi hapa nimetathmini sana na nimepandwa na hasira, Kilicho haramu kikiruhusiwa mbinguni kuna utofauti upi sasa wa watu kula likitimoto lenye mifuta wakishushia na hizo pombe?

Naumiza kichwa na nashindwa kupata jibu, nijuavyo mimi pombe ilikaazwa hasa kwasababu hupunguza uwezo wa akili kufanya maamuzi yenye staha, haya ni baadhi ya madhara ya pombe

  • Huchochea uzinzi (huwa inashuka chini)
  • Ugomvi - hupunguza uwezo wa kucontroll hasira.
  • Kutukana matusi - Mdomo utasema unachotaka
  • addiction / uraibu
  • imefanya wengi kufukuzwa kazini hadi mawaziri
  • Kuzima
  • Kutembea kwa kupepesuka bila balance
  • kujisaidia hadharani
  • Maumivu ya kichwa

Tuajadiliane Hali hii ni vipi na inakuwaje sawa kwa Allah kuweka majaribu mbinguni?

View attachment 2594036
Allah mwenyewe ni kama Piere Liquid tu
 
Kwa heshima na taadhima, nionesheni Mahali katika biblia walipoandika POMBE NI DHAMBI.

BINAADAM WASIITUMIE.
 
Tatizo hawasomi maandiko yao,wanavamia maandiko ya waislamu,kumbe hata kwenye maandiko yao,Pombe iko mbinguni.
Wapi kumeandikwa Pombe Ewe Amanu ?
Au hujui kutofautisha kati ya maana za Divai, Mvinyo na Pombe tukuelimishe bure kabisa.
 
Sijaja kwa kebehi wala maudhi ila nahitaji upembuzi juu ya hili la mito ya pombe mbinguni,

Quran 47:15 - Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya pombe yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa.

Binasfi hapa nimetathmini sana na nimepandwa na hasira, Kilicho haramu kikiruhusiwa mbinguni kuna utofauti upi sasa wa watu kula likitimoto lenye mifuta wakishushia na hizo pombe?

Naumiza kichwa na nashindwa kupata jibu, nijuavyo mimi pombe ilikaazwa hasa kwasababu hupunguza uwezo wa akili kufanya maamuzi yenye staha, haya ni baadhi ya madhara ya pombe

  • Huchochea uzinzi (huwa inashuka chini)
  • Ugomvi - hupunguza uwezo wa kucontroll hasira.
  • Kutukana matusi - Mdomo utasema unachotaka
  • addiction / uraibu
  • imefanya wengi kufukuzwa kazini hadi mawaziri
  • Kuzima
  • Kutembea kwa kupepesuka bila balance
  • kujisaidia hadharani
  • Maumivu ya kichwa

Tuajadiliane Hali hii ni vipi na inakuwaje sawa kwa Allah kuweka majaribu mbinguni?

View attachment 2594036
Dah! Wewe mtu una shida sana na imani za watu.
 
Mathayo 26:29
Ninawahakikishia sitokunywa Tena mvinyo wa mzabibu mpaka siku nitakapokunywa pamoja nanyi katika ufalme wa baba
Kwenye Biblia yangu imeandikwa "sitokunywa nanyi uzao huu wa mzabibu.........." Hilo neno mvinyo umelitoa kwenye Biblia gani Sheikh?
 
ndo maaana nikinywaga bapa na safari kirikuu mbili huwa Kama napaa me najua nmelewa kumbe Niko peponi
 
Pamoja na kwamba sitaki kujibu hoja yako moja kwa moja ila nikupe tu taarifa kuwa; watu watakao kuwa Mbinguni watakuwa tofauti na hawa waliopo Duniani
Mf: hawatavaa Nguo ila hawatajiona Uchi, hawatakuwa wakufanya makosa kwani shetani atakuwa ameondolewa. Nategemea hata Pombe iliyotajwa ije kwa sura mpya, pengine isileweshe....
Mkuu naona una hikma hivi kuhusu hoja ya mabkira 72 ni kweli unapewa peponi halafu unafanya nao tu au unawaoa wanakuwa wake zako wote 72
 
Unashangaa pombe ambayo Qur'an imetaja watu hawatolewa. Kuna watu wameambiwa watakuwa wanaimba na kukata viuno mwanzo mwisho bila kusimama.
Na wanaume tukishapewa mabikira 72 wanawake wao watapewa nn sheikh
 
Kabla ya yote inabidi ujue haya maneno
1/Haramu
2/Dhambi
3/Kosa
4/Matusi
5/Kufuru
6/Na vitu vyote vibaya

Hivi vitu ni vya hapa tu Duniani, Dunia ni sehemu ya mtihani hivi vitu umewekewa Kama mtihani uweze kufudhu POMBE ni nzuri, tamu na ina sterehesha ila umeambiwa usinywe Ni haram Kama mtihani hapa Duniani ufudhu ila pombe hiohio inaweza kuwa peponi ikawa halali kabisa

Peponi hakuna makosa, dhambi, haramu nk neno zinaa, uzinzi, matusi ni vitu vya Duniani tu kupewa mitihani...njaa, misukosuko, ugumu wa maisha, jobless, kuyumba kwa mtaji, kuoigana, hasira vyoooote havipo peponi peponi ni sehemu ya malipo, starehe na kula bata tu.

Kitu kingine inabidi ujue maisha ni kesho peponi/motoni yaani kimsingi ukipima muda tunaoishi Duniani mfano kwa Sasa wengi maximum Ni miaka 100 tunakufa ila peponi tunaishi zaidi ya miaka 1000000000000000+ yaani ni hakuna kikomo na katika miaka hio isiyo na kikomo Kama pombe unakunywa, utafanya Mapenzi na wanawake wengi zaidi ya 20 Sasa nikuulize ujanywa pombe kwa muda wa miaka 80 Duniani ila unakunywa pombe kwamuda wa miaka 100000000000000+ (isiyo na kikomo peponi) je hapo pombe Ni halamu au halali jibu[emoji116]

Pombe ni halali ila kwa muda huu mfupi hapa Duniani Mungu ameichagua iwe moja ya mtihani kati ya mitihani ambayo tumepewa tujizuie kufanya/kutumia.....means kwa mwenye imani na anayependa kweli pombe ni yule anayejizuia hapa Duniani kwa muda wa miaka 70,80 hili akainywe kwa miaka isiyo na kikomo.
Mkuu kufanya mapenzi na wanawake peponi kunaitwaje
 
Kabla ya yote inabidi ujue haya maneno
1/Haramu
2/Dhambi
3/Kosa
4/Matusi
5/Kufuru
6/Na vitu vyote vibaya

Hivi vitu ni vya hapa tu Duniani, Dunia ni sehemu ya mtihani hivi vitu umewekewa Kama mtihani uweze kufudhu POMBE ni nzuri, tamu na ina sterehesha ila umeambiwa usinywe Ni haram Kama mtihani hapa Duniani ufudhu ila pombe hiohio inaweza kuwa peponi ikawa halali kabisa

Peponi hakuna makosa, dhambi, haramu nk neno zinaa, uzinzi, matusi ni vitu vya Duniani tu kupewa mitihani...njaa, misukosuko, ugumu wa maisha, jobless, kuyumba kwa mtaji, kuoigana, hasira vyoooote havipo peponi peponi ni sehemu ya malipo, starehe na kula bata tu.

Kitu kingine inabidi ujue maisha ni kesho peponi/motoni yaani kimsingi ukipima muda tunaoishi Duniani mfano kwa Sasa wengi maximum Ni miaka 100 tunakufa ila peponi tunaishi zaidi ya miaka 1000000000000000+ yaani ni hakuna kikomo na katika miaka hio isiyo na kikomo Kama pombe unakunywa, utafanya Mapenzi na wanawake wengi zaidi ya 20 Sasa nikuulize ujanywa pombe kwa muda wa miaka 80 Duniani ila unakunywa pombe kwamuda wa miaka 100000000000000+ (isiyo na kikomo peponi) je hapo pombe Ni halamu au halali jibu[emoji116]

Pombe ni halali ila kwa muda huu mfupi hapa Duniani Mungu ameichagua iwe moja ya mtihani kati ya mitihani ambayo tumepewa tujizuie kufanya/kutumia.....means kwa mwenye imani na anayependa kweli pombe ni yule anayejizuia hapa Duniani kwa muda wa miaka 70,80 hili akainywe kwa miaka isiyo na kikomo.
Duuh ufanye mapenzi na wanawake 20 vipi huko hawapati mimba
 
Unaifahamu divai? Umeshawahi kunywa? Maana isije ikawa unauliza maswali usiyo yafahamu!
Tafuta Kuna mwenzio nimuirodhoshea vifungu vinavofafanua kwamba divai ni ulevi...ndiyo maana wakatoliki wanasema 'kunyweni lakini msilewe'
 
Mwisho wa siku bado nitakuambia kunywa pombe/mvinyo siyo dhambi. Ila matendo mabaya utakayofanya kutokana na kunywa huo mvinyo, ndiyo yatatambulika kama dhambi.
Mada ni uwepo wa pombe ufalme wa milele kwa babake yesu,ni kwamba atagida huko sambamba na waislam..ni vizibo kwa vizibo,eehn...itakua 'bottom up'..utasikia mafunda ya pombe yakipita kooni kwa yesu
 
Na wanaume tukishapewa mabikira 72 wanawake wao watapewa nn sheikh
Kwani wewe mwanamke hadi unauliza hivyo? Nature ya mwanaume kupenda wanawake labda huyo mtu awe upinde. Hilo swali aulize mwanamke acha kujidhalilisha kijana.
 
Huku duniani wameambiwa uzinzi ni dhambi ila mbinguni wataenda kupewa mabikira sabini na wawili kila mmoja wazini nao milele
Unakosea Allah anatuozesha yani tunawaoa halafu mbiguni hakuna kusali Wala ibada pako kwaaajili ya starehe tuu zote tulizojizuia dunian zitakuepo huko
 
Back
Top Bottom