Napata mashaka juu ya ahadi ya Mito ya pombe mbinguni. Kama Pombe ni chukizo kwa Allah, ni kwanini Pombe iwepo mahali patakatifu?

Allah mwenyewe ni kama Piere Liquid tu
 
Kwa heshima na taadhima, nionesheni Mahali katika biblia walipoandika POMBE NI DHAMBI.

BINAADAM WASIITUMIE.
 
Tatizo hawasomi maandiko yao,wanavamia maandiko ya waislamu,kumbe hata kwenye maandiko yao,Pombe iko mbinguni.
Wapi kumeandikwa Pombe Ewe Amanu ?
Au hujui kutofautisha kati ya maana za Divai, Mvinyo na Pombe tukuelimishe bure kabisa.
 
Dah! Wewe mtu una shida sana na imani za watu.
 
Mathayo 26:29
Ninawahakikishia sitokunywa Tena mvinyo wa mzabibu mpaka siku nitakapokunywa pamoja nanyi katika ufalme wa baba
Kwenye Biblia yangu imeandikwa "sitokunywa nanyi uzao huu wa mzabibu.........." Hilo neno mvinyo umelitoa kwenye Biblia gani Sheikh?
 
ndo maaana nikinywaga bapa na safari kirikuu mbili huwa Kama napaa me najua nmelewa kumbe Niko peponi
 
Mkuu naona una hikma hivi kuhusu hoja ya mabkira 72 ni kweli unapewa peponi halafu unafanya nao tu au unawaoa wanakuwa wake zako wote 72
 
Unashangaa pombe ambayo Qur'an imetaja watu hawatolewa. Kuna watu wameambiwa watakuwa wanaimba na kukata viuno mwanzo mwisho bila kusimama.
Na wanaume tukishapewa mabikira 72 wanawake wao watapewa nn sheikh
 
Mkuu kufanya mapenzi na wanawake peponi kunaitwaje
 
Duuh ufanye mapenzi na wanawake 20 vipi huko hawapati mimba
 
Unaifahamu divai? Umeshawahi kunywa? Maana isije ikawa unauliza maswali usiyo yafahamu!
Tafuta Kuna mwenzio nimuirodhoshea vifungu vinavofafanua kwamba divai ni ulevi...ndiyo maana wakatoliki wanasema 'kunyweni lakini msilewe'
 
Mwisho wa siku bado nitakuambia kunywa pombe/mvinyo siyo dhambi. Ila matendo mabaya utakayofanya kutokana na kunywa huo mvinyo, ndiyo yatatambulika kama dhambi.
Mada ni uwepo wa pombe ufalme wa milele kwa babake yesu,ni kwamba atagida huko sambamba na waislam..ni vizibo kwa vizibo,eehn...itakua 'bottom up'..utasikia mafunda ya pombe yakipita kooni kwa yesu
 
Na wanaume tukishapewa mabikira 72 wanawake wao watapewa nn sheikh
Kwani wewe mwanamke hadi unauliza hivyo? Nature ya mwanaume kupenda wanawake labda huyo mtu awe upinde. Hilo swali aulize mwanamke acha kujidhalilisha kijana.
 
Huku duniani wameambiwa uzinzi ni dhambi ila mbinguni wataenda kupewa mabikira sabini na wawili kila mmoja wazini nao milele
Unakosea Allah anatuozesha yani tunawaoa halafu mbiguni hakuna kusali Wala ibada pako kwaaajili ya starehe tuu zote tulizojizuia dunian zitakuepo huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…