Napata mashaka juu ya ahadi ya Mito ya pombe mbinguni. Kama Pombe ni chukizo kwa Allah, ni kwanini Pombe iwepo mahali patakatifu?

Allah ni character katika hadithi ya kutungwa na watu tu.

Kwenye uhalisia, nje ya hizo hadithi, hayupo.

Ukishaelewa hilo, hizo contradictions nyingine zoote utazielewa zimekuwapo vipi.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
 
Allah ni character katika hadithi ya kutungwa na watu tu.

Kwenye uhalisia, nje ya hizo hadithi, hayupo.

Ukishaelewa hilo, hizo contradictions nyingine zoote utazielewa zimekuwapo vipi.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Sasa we jamaa huoni kua unajipa mtihani siku ukifa si inakua hasara kwako maana huendi peponi kwahio miaka yako ya duniani inakua inepotea bure. Kaka em jitafakari huenda ukaelewa japo kidogo kaa chini alafu ufikirie itawezekana vipi dunia nzima tuwe wrong alafu wew peke yako labda na kakikundi ka watu 50 tu ndio mue right
 
Hapa NABISHA!! tukigonga hio kitu tuna amani sana unaweza piga stori na total stranger fureeshi na.mkapeana michongo
Unabisha sababu hujitambui, Wajomba zangu watatu na Baba Mdogo wote walikuwa "weka mbali na Watoto kabisa" wakishalewa, ni mikong'oto mbele kwa mbele hadi walifukuzwa kazi.
 
Huko peponi unaweza kuthibitisha kupo kweli?

Au unapiga hadithi tu?
 
Tafuta Kuna mwenzio nimuirodhoshea vifungu vinavofafanua kwamba divai ni ulevi...ndiyo maana wakatoliki wanasema 'kunyweni lakini msilewe'
Ninyi ndiyo wale mliokariri tafsiri ya masinagogi ni misikiti mkidai Yesu alisali msikitini bila ya kuangalia muktadha wa sentensi, chanzo cha msamiati na nyakati zipi kulingana na uchache wa maneno yaliyotumika katika lugha iliyotoholewa na Waarabu kumbe ni choo cha kike kwa tafsiri sahihi kwa leo hii (21st century).
 
Lete tafsiri yako,acha mboyoyo
 
Huko peponi unaweza kuthibitisha kupo kweli?

Au unapiga hadithi tu?
Ndio maana nikasema waislam 2bilion na ushee wakristo nao wako mabilioni atheist hata laki hamfiki Sasa Nani ana % ya kua right Kati yetu na nyie?
 
Unabisha sababu hujitambui, Wajomba zangu watatu na Baba Mdogo wote walikuwa "weka mbali na Watoto kabisa" wakishalewa, ni mikong'oto mbele kwa mbele hadi walifukuzwa kazi.
Hao ndio hawajitambui mi nko poa na watoto wangu
 
Lakini sheikh Kipozeo anakuambia pombe ya peponi sio chungu sana kama ya huku.

Kule unajichotea tu kwenye mto pombe ya baridi kama maji ya kilimanjaro. Halafu pembeni kuna mizigo kama 70 ina macho mazuri kama mbuni inakusubiri halafu imejazia nyama nyama.

Peponi kuzuri ndugu zangu. Mwenyezi Mungu utujalie waja wako tufike peponi.
 
Umefafanua scripture straight. Maandiko yanahitaji upembuzi yakinifu kabla hujawasilisha kwa watu
Kwasisi wakristo biblia imeandikwa kwa kila mtu aweze kuelewa,kupigana mikwara ile kwamba unahitaji roho mtakatifu kuyaelewa maandiko huwa ni vitisho tu lkn maandiko yapo ktk namna kila mtu mwny ufaham akisoma ataelewa
 
Kwasisi wakristo biblia imeandikwa kwa kila mtu aweze kuelewa,kupigana mikwara ile kwamba unahitaji roho mtakatifu kuyaelewa maandiko huwa ni vitisho tu lkn maandiko yapo ktk namna kila mtu mwny ufaham akisoma ataelewa
Kila mtu angekua mchungaji kwa staili hio
 
Ndio maana nikasema waislam 2bilion na ushee wakristo nao wako mabilioni atheist hata laki hamfiki Sasa Nani ana % ya kua right Kati yetu na nyie?
Ukweli haupatikani kwa wingi wa watu.

Kuna wakati watu wengi waliamini jua linazunguka dunia, je, hilo lilifanya jua liwe linazunguka dunia?
 
mito ya pombe yenye ladha kwa wanywao, Pombe ya Pepopni haileweshe inakufanya ujisikie raha pasipo na kulewa pombe yenye utamu na sio pombe ya dunia kali yenye uchungu na kukufanya ulewe uchanganyikiwe kiakili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…