Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eti na hii nayo ni thread! hivi huko mashuleni mlienda kufanya nini?Nape juzi akiwa sengerema alisikika akisema kwenye mkutano wa hadhara kuwa ccm itashinda hata kwa bao la mkuno . Aliongeza kuwa ushindi ni ushindi imradi tu refari hajaona. Tafadhari naomba ufafanuzi wa haya maneno
eti na hii nayo ni thread! hivi huko mashuleni mlienda kufanya nini?
Bao la mkono alimaanisha uchakachuaji kwa kuanza na
: kuweka muda mfupi wa kuandikisha BVR maeneo ambayo upinzani una nguvu
:Kuchengesha ratiba ili wanafunzi wa elimu ya juu wasipige kura as uchaguzi utawakuta wakiwa likizo while wamejiandikishia vyuoni
:Kutumia vyombo vya dola kama jeshi na polisi kuwatisha wananchi watakaojaribu kuzuia wizi wa kura
:Kuanzisha vyama muda mfupi kabla ya uchaguzi ili kugawa kura za upinzani eg ACT
:Kuwaengua wagombea wa upinzani kwa sababu ndogo ndogo ili wao wapite bila kupingwa rejea kilichotokea serikali za mitaa
:Kuwanunua wagombea wenye njaa ili wajitoe kwenye mchuano
:Kutangaza walioashindwa kwa mabavu kwa kutumia vyombo vya dola
:Kukimbia na maboksi ya kura rejea kilichotokea Segerea
Na mbinu nyingine nyiiiingi ambazo wamekuwa wakitumia kufungia magoli ya mkono,vidole na sometimes hata kiuno
Labda huyu ataeleza mbinu zingine
CC @Vuta Nkuvute
amethibitisha kuwa wanashinda kwa rafu na uchakachuaji , ila safari hii ngoma nzito hatulali wala kuzubaa tutalinda kura na tutathamini kura ata moja ya bibi kizee