Yametimia…Na hili la kutumbuliwa akina Nape likitokea, nitakuaminia kuliko maelezo. Hata siku ukisema mende atatoa maziwa mimi nitakubali.
Wambie asee! Mie nishachoka kuwafafanulia ufundi wa siasa. Hao wanaelekea kwenye kazi maalum ya 2025.Wewe unaamini kabisa inavuja? Hujiulizi kwa nini wewe hupati hizo taarifa. Watu wapo kazini asee.
Hata boko la juzi nape aliamua kujifyatua tu iwe ndo sababu.
OhooooooSiyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa
Britanicca
Sawa Sawa britaniccaSiyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa
Britanicca
Na jamaa wapo kwenye makabati walikusanya any potentials.Nimeambiwa Nape alikuwa kwenye tuzo sijui wapi huko taarifa zimemkuta akiwa live.
Eti inasemekana hata wewe ni mtu wa kitengo. Niliogopa miye. Halafu muda sana yaani. I hope everything is OK 🖐😂😂 Sasa ufanye hivyo
💪🤸🤸🤸Kwenye mkeka rasmi Naleta nilipo andika hii
Britanicca
🤣😅🤣NAPE NAPE NAPE
Wa chama na SERIKALIBritannica kada mtifuu salama mkuu
Wasiomjua Britannica wanamfahamu SasaWa chama na SERIKALI
Naanza kuamin kuwa wapo "Waijuayo kesho"Siyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa
Britanicca
Hanaga famba huyoNaanza kuamin kuwa wapo "Waijuayo kesho"
YametimiaSiyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa
Britanicca
Pongezi nyingi kwako Mkuu Britanicca, uko vzrNdoto yako iwe kweli, Wale jamaa watakutana tena maana wanaamin mchi ya Tz ni kwa ajili yao na vizazi vy
Naunga mkono hojaWambie asee! Mie nishachoka kuwafafanulia ufundi wa siasa. Hao wanaelekea kwenye kazi maalum ya 2025.
Mpaka uwe umesomea Q-ba ndipo utaelewa huo mchezo.