Uchaguzi 2020 Nape: Membe akimaliza kazi tuliyomtuma kuumaliza upinzani atarudi CCM

Uchaguzi 2020 Nape: Membe akimaliza kazi tuliyomtuma kuumaliza upinzani atarudi CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Aliyekuwa Katibu wa uenezi wa CCM na baadae kuachiwa jimbo la Mtama na Membe ili awe mbunge na Membe awe Rais, ndugu Nape Nauye amesema upinzani umerudia kosa lile lile walilofanya mwaka 2015 kwa kuwakaribisha Lowassa na Sumaye.

Nape amesema Membe akikamilisha jukumu lililompeleka upinzani atarejea CCM chap kwa haraka.

My take: Nape ni mtu wa karibu sana wa Membe na yule DC wa Iringa naamini maneno yake mbunge asiyepingwa.

Maendeleo hayana vyama!

 
Aliyekuwa Katibu wa uenezi wa CCM na baadae kuachiwa jimbo la Mtama na Membe ili awe mbunge na Membe awe Rais, ndugu Nape Nauye amesema upinzani umerudia kosa lile lile walilofanya mwaka 2015 kwa kuwakaribisha Lowassa na Sumaye.

Nape amesema Membe akikamilisha jukumu lililompeleka upinzani atarejea CCM chap kwa haraka.

My take: Nape ni mtu wa karibu sana wa Membe na yule DC wa Iringa naamini maneno yake mbunge asiyepingwa.

Maendeleo hayana vyama!
Membe is dead snake, ni irrelevant.
 
Mi nakubali maneno ya Nape mana hawa upinzani vichwa vyao sijuwi vina mafuta ya taa au kitu gani Wapinzani walipaswa kuwekwa mstari mwekundu kwa vigogo wa ccm kujiunga na upinzani ata wakila kiapo gani, tokea maalim seif alivyosumbuliwa na kina Lipumba mpaka zile heru 3 za chama cha CUF zikawatoka walipaswa kusoma ccm and its alie are not good friends.,

Jengine ni kwamba Nape anakiri kwama ccm pasina shaka yeyote kumbe wana hiyo mipango miaka nenda miaka rudi ya kuuwa upinzani
 
Kumbe Membe na magufuli LAO MOJA..
Act WAZALENDO MTIMUENI MEMBE
 
Wacha wee!endeleeni kumwaga mchele.
KAZI NA BATA
Membe hana Madhara kwa upinzani hata kidogo...kwa wale msiokuwa mnafahamu sababu za Membe kupitishwa na ACT alikuwa reserve endapo Lissu angefanyiwa figusi pale Mwanzoni kwa hiyo kazi yake ilishaisha siku nyingi...
 
Kweli vita ni Kali.

Ss hapo anaifanyia chadema kampeni. Maana ccm inamponda Membe, Membe anamponda Jpm na wao ndo wamemtuma Membe.

Inawezekana Membe akamsapoti Tl dk ya 90 au Jpm dk ya 89.

Ccm wasibweteke na wale ccm asili. Yaweza kuwa Membe anafanya kazi zao.
 
Back
Top Bottom