Uchaguzi 2020 Nape: Membe akimaliza kazi tuliyomtuma kuumaliza upinzani atarudi CCM

Uchaguzi 2020 Nape: Membe akimaliza kazi tuliyomtuma kuumaliza upinzani atarudi CCM

Membe ndio mwenyekiti wa ACT wazalendo kwa sababu Zitto Kabwe na maalim Seif wamepoteza sifa ya kuwa wanachama!

Automatically yeye ndio anakuwa mwenyekiti? Au mimi ndio sijui sifa za kuwa mwenyekiti wa ACT? Ninachochojua hiyo ACT ilianzishwa na JK, Membe, Mwigulu nk kama backup ya ccm kupambana na cdm. Lakini baada ya Magufuli kuingia madarakani akalizimia taa genge lote la JK na wapambe wake ikiwemo Zito na Membe. Ila Maalim Seif inaonekana amefichwa na Zito ukweli huu wa magodfather wa ACT. Kwa sasa Membe ni zaidi ya mgombea Urais, bali ni mmiliki ambaye Zito hawezi kumtaja. Iwapo huu mgogoro utakuwa mkubwa hata baada ya uchaguzi hasa kuendana na matokeo ya uchaguzi, Membe atabaki na chama, huku Zito akirudi cdm, na kutakuwa na ACT Seif na ACT Membe. ACT Seif itaendelea japo kwa changamoto, lakini ACT Membe itakuwa kama UDP, TLP nk.
 
ACT ni chama cha Membe...Zitto ni dalali ...anyetafutwa hapo ni Maalim...if you know you know
 
Nilipoona magufuli kaenda kuungama kwa Jk baadaye akamhakikishia kumkamilishia nyumba yake ya uraisi,

Tayari nikahisi Membe atalegezwa misimamo

Kwa hiyo huenda Kuna makubaliano yasiyo rasimi Kati ya JPM, JK, Membe na wafuasi wake ndani ya ccm ili kumnusuru JpM na anguko linalokuja

Maneno ya nape huenda Ni furaha baada ya kuhakikishiwa kurudishwa kundini baada ya uchaguzi

Siasani hakuna uadui wa kudumu
 
 
Uzuri mtego tumeuvuka salama na saivi chawa wote wameumbuka hivyo baada ya uchaguzi tunatimua wote mkashirikiane kuunda serikali kivuli salama
Ikiwaka Mulika Ikizima Papasa
Mwaka Huu Maji Wataita Mmaa!!!
 
Kimbunga cha Lissu na Sheikh Ponda Songea leo

 
Aliyekuwa Katibu wa uenezi wa CCM na baadae kuachiwa jimbo la Mtama na Membe ili awe mbunge na Membe awe Rais, ndugu Nape Nauye amesema upinzani umerudia kosa lile lile walilofanya mwaka 2015 kwa kuwakaribisha Lowassa na Sumaye.

Nape amesema Membe akikamilisha jukumu lililompeleka upinzani atarejea CCM chap kwa haraka.

My take: Nape ni mtu wa karibu sana wa Membe na yule DC wa Iringa naamini maneno yake mbunge asiyepingwa.

Maendeleo hayana vyama!
Nape nape komesha
 
Kama utajitolea kuumia ama kudhurika kwasababu ya hizi siasa za bongo,basi ni wazi wewe utakuwa ni mpumbavu namba moja kwenye ukoo wenu.
 
Membe hana Madhara kwa upinzani hata kidogo...kwa wale msiokuwa mnafahamu sababu za Membe kupitishwa na ACT alikuwa reserve endapo Lissu angefanyiwa figusi pale Mwanzoni kwa hiyo kazi yake ilishaisha siku nyingi...
Mabumunda wengi
Hawashangai Zitto mpaka sasa hajasema kitu
 
Back
Top Bottom