Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jambo jema bwashee!Mimi nipo Chadema ila kura yangu ni kwa JPM.
Membe ndio mwenyekiti wa ACT wazalendo kwa sababu Zitto Kabwe na maalim Seif wamepoteza sifa ya kuwa wanachama!
Zero ndo badae akalist pepa .sa mjinga huyo kichwa kama papaiAlipata zero kabisa?
ImebumaOhoo vizuri.
MISSION COMPLETE
Najiuliza inaposemwa kwamba Membe atarudi CCM kwani aliondoka kwa hiyari yake au alifukuzwa?Nape alivyopata Nsumba Boys zero anadhani watu tuna IQ weak..
Lowasa na Sumaye hawakutumwa kazi yoyote CCM isipokuwa ni baada ya kuwanyima stahiki zao wazee wa watu wakaufyata..hizo propoganda za kijinga kwamba Membe atarudi CCM baada ya kumaliza kaz alotumwa ni uzushi na uongo tu usio na tija.
Membe hana Madhara kwa upinzani hata kidogo...kwa wale msiokuwa mnafahamu sababu za Membe kupitishwa na ACT alikuwa reserve endapo Lissu angefanyiwa figusi pale Mwanzoni kwa hiyo kazi yake ilishaisha siku nyingi...
Nape hashirikishi ubongo wake ipasavyo wakati anaongea...nimemdharauKwa asiyejua atadhani Nape anawananga upinzani.
Hapa Nape anainanga CCM.
Imebuma
Ni njaa tu zinamfanya aseme hivyo. Ila alivyo mjinga haoni kuwa hapa anazidi kumpaisha Lissu juu. Hata waliokuwa na nia ya kumpigia Membe kura na za upinzani zigawanyike wataacha na kumpigia Lissu.Mi nakubali maneno ya Nape mana hawa upinzani vichwa vyao sijuwi vina mafuta ya taa au kitu gani Wapinzani walipaswa kuwekwa mstari mwekundu kwa vigogo wa ccm kujiunga na upinzani ata wakila kiapo gani, tokea maalim seif alivyosumbuliwa na kina Lipumba mpaka zile heru 3 za chama cha CUF zikawatoka walipaswa kusoma ccm and its alie are not good friends.,
Jengine ni kwamba Nape anakiri kwama ccm pasina shaka yeyote kumbe wana hiyo mipango miaka nenda miaka rudi ya kuuwa upinzani
Hao jamaa wa CCM hawana sera...Najiuliza inaposemwa kwamba Membe atarudi CCM kwani aliondoka kwa hiyari yake au alifukuzwa?
Unakumbuka shuka kumekucha..!! Membe anasili zote za upizani mtakomaUzuri mtego tumeuvuka salama na saivi chawa wote wameumbuka hivyo baada ya uchaguzi tunatimua wote mkashirikiane kuunda serikali kivuli salama
Mtaelewa tu baadaeNape mdomo bado hajaweza kuu control..
Anawakosea adabu hadi Baba zake
Membe kachezeshwa sio 😂CCM wameleta membe upinzani ukamtumia membe Kama toilet paper. Saivi kashajifia kifo Cha mende kisiasa.
Imebuma la pandikizi la CCM kuachwa njia panda litapata kura ya mkewe tuImebuma vipi wakati zito na maalim wanampigia kura lisu?.
Mission imekamilika hyo.
Yaani KUVURUGANA kwao ndo kukamilika kwa hyo MISSION