frenk julius
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 377
- 242
Membe kashamalixa kaz aliyotumwa, kwan ana siri zote za upizani..mtaelewa tu baadaeMembe hana Madhara kwa upinzani hata kidogo...kwa wale msiokuwa mnafahamu sababu za Membe kupitishwa na ACT alikuwa reserve endapo Lissu angefanyiwa figusi pale Mwanzoni kwa hiyo kazi yake ilishaisha siku nyingi...