Uchaguzi 2020 Nape: Membe akimaliza kazi tuliyomtuma kuumaliza upinzani atarudi CCM

Uchaguzi 2020 Nape: Membe akimaliza kazi tuliyomtuma kuumaliza upinzani atarudi CCM

Aliyekuwa Katibu wa uenezi wa CCM na baadae kuachiwa jimbo la Mtama na Membe ili awe mbunge na Membe awe Rais, ndugu Nape Nauye amesema upinzani umerudia kosa lile lile walilofanya mwaka 2015 kwa kuwakaribisha Lowassa na Sumaye...
Basi kumbe hawapo makini kabisa. Sa Membe ana ushawishi gani ACT au Upinzani?
 
Nape alivyopata Nsumba Boys zero anadhani watu tuna IQ weak..
Lowasa na Sumaye hawakutumwa kazi yoyote CCM isipokuwa ni baada ya kuwanyima stahiki zao wazee wa watu wakaufyata..hizo propoganda za kijinga kwamba Membe atarudi CCM baada ya kumaliza kaz alotumwa ni uzushi na uongo tu usio na tija.
Sumaye ana binti fulani mrembo kweli alikuwa taasisi fulani yenye mshahara mnono.
Binti alipelekwa likizo isiyo na malipo uchunguzi ukiendelea,akamwambia,"dad,rudi CCM,vinginevyo sote tunaotumia last name ya Sumaye tutaadhirika".

Ndio ikawa ilivyokuwa.
 
Nimesikia Nape hapa


Nikasema kama ni ya kweli basi ninarudia maneno niliyowahi kusema huko nyuma zamani sana kuwa CHADEMA ischukue wagombea makapi ya CCM lakini sikusikilizwa wakati huo.

Siri zinavuja sasa
 
Back
Top Bottom