frenk julius
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 377
- 242
Membe kashamalixa kaz aliyotumwa, kwan ana siri zote za upizani..mtaelewa tu baadaeMembe hana Madhara kwa upinzani hata kidogo...kwa wale msiokuwa mnafahamu sababu za Membe kupitishwa na ACT alikuwa reserve endapo Lissu angefanyiwa figusi pale Mwanzoni kwa hiyo kazi yake ilishaisha siku nyingi...
Nape hakupata ziro umemchanganya na Ole sendeka wewe!Nape alivyopata Nsumba Boys zero anadhani watu tuna IQ weak..
Lowasa na Sumaye hawakutumwa kazi yoyote CCM isipokuwa ni baada ya kuwanyima stahiki zao wazee wa watu wakaufyata..hizo propoganda za kijinga kwamba Membe atarudi CCM baada ya kumaliza kaz alotumwa ni uzushi na uongo tu usio na tija.
Membe kashakamilisha kaz yake na hawana ubavu wa kumfukuza saiv..Kumbe membe na magufuli LAO MOJA..
Act WAZALENDO MTIMUENI MEMBE
Hivi kwa nini asiende kugombea Tukuyu?Nape mdomo bado hajaweza kuu control..
Anawakosea adabu hadi Baba zake
Membe anataka dakika 89 amsupport Magu,Hilo upinzani wameshamshtukia na hana madhara tenaKweli vita ni Kali.
Ss hapo anaifanyia chadema kampeni. Maana ccm inamponda Membe, Membe anamponda Jpm na wao ndo wamemtuma Membe.
Inawezekana Membe akamsapoti Tl dk ya 90 au Jpm dk ya 89.
Ccm wasibweteke na wale ccm asili. Yaweza kuwa Membe anafanya kazi zao.
Nape anaongea kidemudemu dizaini...Aliyekuwa Katibu wa uenezi wa CCM na baadae kuachiwa jimbo la Mtama na Membe ili awe mbunge na Membe awe Rais, ndugu Nape Nauye amesema upinzani umerudia kosa lile lile walilofanya mwaka 2015 kwa kuwakaribisha Lowassa na Sumaye.
Nape amesema Membe akikamilisha jukumu lililompeleka upinzani atarejea CCM chap kwa haraka.
My take: Nape ni mtu wa karibu sana wa Membe na yule DC wa Iringa naamini maneno yake mbunge asiyepingwa.
Maendeleo hayana vyama!
Chadema hakuna nzi wa kijaniMimi nipo Chadema ila kura yangu ni kwa JPM. Huu utapeli wanaotufanyia haufai.
CCM bwana;yani hata mjitokeze kwa kauli za chadema-tumeshashtuka.upinzani ni Kama imani na si maneno tuMimi nipo Chadema ila kura yangu ni kwa JPM. Huu utapeli wanaotufanyia haufai.
Mdomo wake unashirikiana na lile tumbo tuNape hashirikishi ubongo wake ipasavyo wakati anaongea...nimemdharau
Ameongea ukweli mchungu!Nape anaongea kidemudemu dizaini...
Membe aliingizwa mkenge asie ujua hamna siri aliyonayo kwakuwa hakushiriki kitu chochote kwenye mkakatiUnakumbuka shuka kumekucha..!! Membe anasili zote za upizani mtakoma
Kikwete aliwahi kusema si rahisi kutabiri Nape ataongea nini dakika tano zijazo.Nape mdomo bado hajaweza kuu control..
Anawakosea adabu hadi Baba zake.
Too late. Lazima ndoano itoke na kitu.Kumbe Membe na magufuli LAO MOJA..
Act WAZALENDO MTIMUENI MEMBE
yeah.... but kidemudemu!Ameongea ukweli mchungu!
Nape mdomo bado hajaweza kuu control..
Anawakosea adabu hadi Baba zake
Hapa wanammaliza Membe. Nahisi hii pamoja na wale jamaa walioandika barua ya kutaka Maalim na Zitto wafutwe uanachama ni njama za kumchinjia baharini Membe. Sioni sababu ya Nape kutangaza hadharani kuwa wamemtuma Membe kabla hata ya uchaguzi kumalizika.Aliyekuwa Katibu wa uenezi wa CCM na baadae kuachiwa jimbo la Mtama na Membe ili awe mbunge na Membe awe Rais, ndugu Nape Nauye amesema upinzani umerudia kosa lile lile walilofanya mwaka 2015 kwa kuwakaribisha Lowassa na Sumaye.
Nape amesema Membe akikamilisha jukumu lililompeleka upinzani atarejea CCM chap kwa haraka.
My take: Nape ni mtu wa karibu sana wa Membe na yule DC wa Iringa naamini maneno yake mbunge asiyepingwa.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa...... Siasa ni sayansi bwashee.Kikwete aliwahi kusema si rahisi kutabiri Nape ataongea nini dakika tano zijazo.
Nimekuelewa bwashee!Hapa wanammaliza Membe. Nahisi hii pamoja na wale jamaa walioandika barua ya kutaka Maalim na Zitto wafutwe uanachama ni njama za kumchinjia baharini Membe. Sioni sababu ya Nape kutangaza hadharani kuwa wamemtuma Membe kabla hata ya uchaguzi kumalizika.
Amandla...