Nape na ombi la CAG kukagua mikopo; kuna watu wamepanic!

Awamu ya 5 hakuna ufisadi wewe! Hela imetumika hata kipofu anaona
 
Yule alikuwa Rais wa Dar Dodoma na Chato.mikoa mingine hakuwa na habar nayo kabisa.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri serikali iliyopo Sasa ni ile ile iliyokuwepo, kuanzia Rais, Makamu na waziri Mkuu.
hapana, hufikiri sawa sawa

hizo ni serikali mbilo tofauti

iliyopita ni awamu ya tano, na hii ni awamu ya sita ijapo sura ni zilezile tu, nia na miongozo ya awamu hizi ni tofauti
 
Mbona mnakosa uelewa.
Kichaa mwenye panga unaongea naye vipi kwa mfano!
 
Naamini taarifa ya ukaguzi itakaliwa kama zingine. Ile ya BOT ilishatolewa hadharani ?!
 
Nani anaogopa ukaguzi. Naomba kwa mola wakague na wafanye public ili wabaya wa JPM waumbuke
Wabaya wa JPM ni akina nani?
Ukimkosoa kiongozi wako unakuwa na ubaya naye?
Nyi ndiyo mlimpotosha.
Hakuna mkamilifu, ila Mwenyezi Mungu. Milishangilia kila alichofanya mkasahau kwamba yeye ni mwana wa Adamu kama wengine.
Na sifa moja ya binadamu ni kukosea
 
Chief hangaya nae anahusika kwa sababu alikuwa namba 2 ya awamu ya 5.

endeleeni kufukua makaburi mkidhani mnamuabisha au kumkomoa mtu wakati MNAJIDHALILISHA wenyewe.

mpaka kigogo2014 tushamjua ni nani na nani ,nyie endeleeni tu.

NB: Legacy ya Magufuli hamuwezi kuifuta kamwe,mambo yake wanaoneka kwa macho na Watanzania walimuelewa sasa nyinyi kazaneni na majungu halafu msifanye kazi za kuonekana TUONANE 2025.
 
Kunskuwaga na mbuzi wa kafata kwenye haya mambo.

Lowasa alitolewa kafara kwenye Richmond.

Tibaijuka na Ngereja wakatolewa kafara kwenye Escrow.

Kitwnga akayolewa kafara kwenye... The list goes on.
 
Endeleeni kusubiria mkuu. Zile alizohoji CAG aliyepita mliwahi kujua zimeishia wapi?
Watanzania ni wepesi sana kuwaamini viongozi wao. Kuna watu hawaamini kabisa kuwa awamu ya 5 kuna watu wamepigia cha kufa mtu. Kwa wao kushindwa kuelezea zile 1.5 Trillion na baadaye kumtoa CAG ni ushahidi tosha.

Kama Jamaa aliweza kuchukua tausi wa Ikulu na kujimilikisha kweupe mchana what else do you need to believe.....!!
 
Umenena vema mkuu.
Kumbuka wakati mwamba yupo madarakani ilikuwa ukimkosoa tu unaambiwa ulikuwa fisadi sasa unanyooshwa.

Leo hawataki hata uchunguzi wa CAG.
Tulieni mnyooshwe.
Jamaa alikuwa na visasi na roho ambayo ni kama nyoka swila mwenye sumu na anakugonga bila sababu.
Wengi wamekufa chini ya utawala wake.
 
Jambo ni muendelezo wa upotevu wa hela za wananchi . Ukaguzi utafanyika aidha majibu ya report yawe public na hatua zisichukuliwe kwa watakao bainika ama report itakuwa mali ya waliomtum kukagua tu na hatua hazitachukuliwa kwa watakaobainika kula hela za wananchi. Hivyo kama wanajua hiyo report haitakuwa na athari yoyote ni bora wakaacha
 
Ukaguzi mihimu sana walituaminisha kwamba miradi yote inajengwa kwa kodi za ndani ss watuambie zile walizokopa zimeeda wap tunahitaji majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…