Awamu ya 5 hakuna ufisadi wewe! Hela imetumika hata kipofu anaonaAwamu ya nne ufisadi ulifanyika na kila mmoja ameuona.
Maana awamu hiyo serikali iliendesha mambo yake hadharani, ufisadi ulisemwa Bungeni, CAG amekagua, baadhi ya Mawaziri walipoteza kazi, magazeti yameandika na wananchi wamesikia.
Lakini ufisadi wa awamu ya tano hauatakiwi ujulikane maana mtawala wa wakati huo alifananishwa na Masihi.
Yule alikuwa Rais wa Dar Dodoma na Chato.mikoa mingine hakuwa na habar nayo kabisa.Huwa nawashangaa sana watu wakisema na kujimwambafai Magufuli kafanya hiki, Magufuli kafanya hiki. Ingekuwa kazi ya urais ni kuchukua mamikopo na kujenga madalaja basi Marais wote wangefanya hivyo. Urais una takiwa kuangalia mambo mengi sana na yote yaende kwa pamoja.
Awamo ya tano tuliingizwa chaka na itachukua miaka mingi sana kufix athari iliyosababaisha
hapana, hufikiri sawa sawaNafikiri serikali iliyopo Sasa ni ile ile iliyokuwepo, kuanzia Rais, Makamu na waziri Mkuu.
Mbona mnakosa uelewa.Siyo ku-panic; bali kudadisi mantiki ya pendekezo au ushauri huo. Nape alikuwa Mbunge tangu wakati wa JPM. Kwa nini hakutumia wadhifa wake huo wakati ule kupendekeza anayoyasema hivi sasa, akasubiri hadi leo kuja kufanya hivyo? Hapo hapo, alikwenda kumwomba msamaha JPM na hakuwa na la kumtonya Rais kuhusu udhalimu anaoufahamu ukifanyika. Hiyo ndiyo shaka yetu kwamba ni uchumia tumbo ndio unamtuma kufanya hivyo. Siyo shauri la ku-panic.
Naamini taarifa ya ukaguzi itakaliwa kama zingine. Ile ya BOT ilishatolewa hadharani ?!CAG kimsingi amekubali kukagua fedha za mikopo iliyoingiwa na serikali ya Awamu ya 5.
CAG Kichere amesha sema anasubiri maelekezo tu.
Kutokana na mijadala, hata humu JF, kuna watu wamepanic.
Kisirisiri wengi wanajua frdha zilivyoliwa, mitambo nyeti imenunuliwa st inflated prices, na hakuna aliyeuliza.
Miradi haikuhakikiwa na bunge, hilo linajulikana.
Nenda Tegeta A, Mbweni na kwingineko, majumba yalipaa kama uyoga, na ni watu fulani tu.
Nape umetonesha kidonda.
Kama huo ndiyo ukweli mbona mnaogopa ukaguzi ?Awamu ya 5 hakuna ufisadi wewe! Hela imetumika hata kipofu anaona
Nani anaogopa ukaguzi. Naomba kwa mola wakague na wafanye public ili wabaya wa JPM waumbukeKama huo ndiyo ukweli mbona mnaogopa ukaguzi ?
Wabaya wa JPM ni akina nani?Nani anaogopa ukaguzi. Naomba kwa mola wakague na wafanye public ili wabaya wa JPM waumbuke
Mbombo ngafu
Hakuna mboo mboo hapa, tunataka kusikia hela zetu zimetumika vpi.Mbombo jilipo
Endeleeni kusubiria mkuu. Zile alizohoji CAG aliyepita mliwahi kujua zimeishia wapi?Hakuna mboo mboo hapa, tunataka kusikia hela zetu zimetumika vpi.
Kunskuwaga na mbuzi wa kafata kwenye haya mambo.Zimbabwe kuna waziri alikumbwa na tuhuma za rushwa, na kwakua ilimhusisha mkuu, walipomfuata kumhoji akasema "go on but I will not sink alone" aliishia kubadilishwa wizara tu.
Nnachotaka kusema ni kwamba, hata ukifanyika ukaguzi madudu yakabainika, hakuna wa kumuwajibisha mwenzake, wengi sio wasafi. Watu ni walewale waliokuwepo awamu iliyopita.
Nnachojiuliza sasa, Nnnnape anafanya haya yote sasa hivi kwa uzalendo au kwa vile hakunufaika na ufisadi?
Watanzania ni wepesi sana kuwaamini viongozi wao. Kuna watu hawaamini kabisa kuwa awamu ya 5 kuna watu wamepigia cha kufa mtu. Kwa wao kushindwa kuelezea zile 1.5 Trillion na baadaye kumtoa CAG ni ushahidi tosha.Endeleeni kusubiria mkuu. Zile alizohoji CAG aliyepita mliwahi kujua zimeishia wapi?
Magufuli alisema zitawatoka kupitia tundu lolote mwilini!🙄Endeleeni kusubiria mkuu. Zile alizohoji CAG aliyepita mliwahi kujua zimeishia wapi?
Jamaa alikuwa na visasi na roho ambayo ni kama nyoka swila mwenye sumu na anakugonga bila sababu.Umenena vema mkuu.
Kumbuka wakati mwamba yupo madarakani ilikuwa ukimkosoa tu unaambiwa ulikuwa fisadi sasa unanyooshwa.
Leo hawataki hata uchunguzi wa CAG.
Tulieni mnyooshwe.
Magufuli alisema zitawatoka kupitia tundu lolote mwilini!🙄
Si unaona wanavyopanic?Zimewatoka sasa?
Ukaguzi mihimu sana walituaminisha kwamba miradi yote inajengwa kwa kodi za ndani ss watuambie zile walizokopa zimeeda wap tunahitaji majibuCAG kimsingi amekubali kukagua fedha za mikopo iliyoingiwa na serikali ya Awamu ya 5.
CAG Kichere amesha sema anasubiri maelekezo tu.
Kutokana na mijadala, hata humu JF, kuna watu wamepanic.
Kisirisiri wengi wanajua frdha zilivyoliwa, mitambo nyeti imenunuliwa st inflated prices, na hakuna aliyeuliza.
Miradi haikuhakikiwa na bunge, hilo linajulikana.
Nenda Tegeta A, Mbweni na kwingineko, majumba yalipaa kama uyoga, na ni watu fulani tu.
Nape umetonesha kidonda.