Si unaona wanavyopanic?
Mkuu kuishi kwingi kuona mengi.Hapo kaka ni zoezi la kukomoana tu, ningeona ni kitu cha maana sana chenye tija ningekua na uhakika endapo uchunguzi utagusa kila aliyehusika na hatua kali kuchukuliwa bila kuangalia mtu usoni, SIONI HILO LIKITOKEA.
Mkuu kuishi kwingi kuona mengi.
Mwalimu aliwahi kutufundisha kuwa, kuna wakati mwingine mkubwa akikosea na huna la kumfanya. Hapo basi kumzomea tu ni adhabu tosha!
Hata kama hamdanganyiki, hata kama mnajua kila ovu; then mnavyojua mnafanya nini?Kuna kitu hawa wanasiasa lazima wakijue, kwanza hakuna mtanzania wakudanganywa kwa miaka hii, pili dunia imebadirika sana kiasi kwamba tunazo kumbukumbu zote na yote yaliyofanyika kabla ya Late John Joseph Pombe na yanayoendelea sasa.
Tusianze na lolote lile kati ya Richmond au Dowans either wanajua kila kitu or wanatafuta kumchafua mtu kwa kile alichofanya kuonekana was fashisti than those still living, hii ni nchi yetu sote siyo ya wazi na wanyang'anyi flani.
Huyo CAG tutamuomba arudi kuanzia nyuma wkt mmea ndiyo umeamishiwa eneo lingine ukiwa bado haujazoea aridhi mpya.
SUKUMA -GANG na MATAGA ndio wamepanic .,CAG kimsingi amekubali kukagua fedha za mikopo iliyoingiwa na serikali ya Awamu ya 5.
CAG Kichere amesha sema anasubiri maelekezo tu.
Kutokana na mijadala, hata humu JF, kuna watu wamepanic.
Kisirisiri wengi wanajua frdha zilivyoliwa, mitambo nyeti imenunuliwa st inflated prices, na hakuna aliyeuliza.
Miradi haikuhakikiwa na bunge, hilo linajulikana.
Nenda Tegeta A, Mbweni na kwingineko, majumba yalipaa kama uyoga, na ni watu fulani tu.
Nape umetonesha kidonda.
NAPE ameokoka, anatubu kijanja; ila ili aende mbinguni , aachie ubunge maana ameingia kwa UCHAFUZI na si UCHAGUZI, kistaarabu tu aachie jimbo, hivi vitu anajikusanyia hatokwenda navyo peponi, atacha watu wakigombea kwenye miradhi.Nakuelewa na tuko pamoja sana. Shida ni hata hiyo kuzomewa, wako wanaotakiwa wazomewe lakini hawatazomewa. Itaangaluwa huyu ni nani na tukimzomea itakuaje? Wengine hawatatajwa hata kuwa kwenye orodha ya kuzomewa.
Wakati huohuo wako watakaoachwa ila siku wakileta ukorofi, watakumbushwa wanatakiwa wazomewe.
Ndiomaana nikasema, zoezi ni jema lenye nia ovu. Huyo anaepiga kelele ni kwa vile hakupata vizuri sehem yake au hakuridhika. Sio kwamba ana uchungu na nchi
Si ni huyo huyo aliyetuletea msamiati wa goli la mkono kwenye chaguzi?
Na Kuna mambo hayaonekani kwa macho na ndio mabaya zaidi. Utakuja kuelewa pale utakapokuja staafu na kukuta mfuko wa pensheni Magufuli alishaukwanguaga siku nyingi.Chief hangaya nae anahusika kwa sababu alikuwa namba 2 ya awamu ya 5.
endeleeni kufukua makaburi mkidhani mnamuabisha au kumkomoa mtu wakati MNAJIDHALILISHA wenyewe.
mpaka kigogo2014 tushamjua ni nani na nani ,nyie endeleeni tu.
NB: Legacy ya Magufuli hamuwezi kuifuta kamwe,mambo yake wanaoneka kwa macho na Watanzania walimuelewa sasa nyinyi kazaneni na majungu halafu msifanye kazi za kuonekana TUONANE 2025.
U$€nge Tu Bora wasifanye huo ukaguzi. Kupeana pesa za vikao vya ukaguzi halaf hamna kitu.CAG kimsingi amekubali kukagua fedha za mikopo iliyoingiwa na serikali ya Awamu ya 5.
CAG Kichere amesha sema anasubiri maelekezo tu.
Kutokana na mijadala, hata humu JF, kuna watu wamepanic.
Kisirisiri wengi wanajua frdha zilivyoliwa, mitambo nyeti imenunuliwa st inflated prices, na hakuna aliyeuliza.
Miradi haikuhakikiwa na bunge, hilo linajulikana.
Nenda Tegeta A, Mbweni na kwingineko, majumba yalipaa kama uyoga, na ni watu fulani tu.
Nape umetonesha kidonda.
Muongo. Mwizi. Kiburi. Mfitini. Mdhalilishaji.Hakika, ukaguzi ufanyike. Jiwe alikuwa muongo sana
Kwani kunashida gani huo upepo ukapita? Sisi ni matajiri, tunajenga kwa fedha zetu za ndani. Mbona lilipita pia, jamaa alikuwa mwongo sana sema wafuasi wake wengi walikuwa wale waliotajwa na Twaweza. Huwezi kuta mtu anayejielewa akishabikia ujinga kama ule.Huo uchunguzi ukishafanyika ikagunduoika kuna watu waliharibu hao wahusika watachukuliwa hatua au watafichwa kama ile ripoti ya fedha zilizochotwa BOT Magufuli alipofariki?
Huyu Nape naamini kabisa anapiga hizo kelele kwa malengo yake binafsi kisiasa ili akamate nyumbu wake, lakini anazijua vizuri tabia za chama chake kuwalinda wahalifu, anajua hakuna watakachofanywa hizi kelele zake ni upepo tu utapita.
Nape amuulize mpango sio kubwabwaja tuCAG kimsingi amekubali kukagua fedha za mikopo iliyoingiwa na serikali ya Awamu ya 5.
CAG Kichere amesha sema anasubiri maelekezo tu.
Kutokana na mijadala, hata humu JF, kuna watu wamepanic.
Kisirisiri wengi wanajua frdha zilivyoliwa, mitambo nyeti imenunuliwa st inflated prices, na hakuna aliyeuliza.
Miradi haikuhakikiwa na bunge, hilo linajulikana.
Nenda Tegeta A, Mbweni na kwingineko, majumba yalipaa kama uyoga, na ni watu fulani tu.
Nape umetonesha kidonda.
Labda lengo lake ni fisadi kuu aliyekuwa kwenye kichaka cha unyonge ajulikaneZimbabwe kuna waziri alikumbwa na tuhuma za rushwa, na kwakua ilimhusisha mkuu, walipomfuata kumhoji akasema "go on but I will not sink alone" aliishia kubadilishwa wizara tu.
Nnachotaka kusema ni kwamba, hata ukifanyika ukaguzi madudu yakabainika, hakuna wa kumuwajibisha mwenzake, wengi sio wasafi. Watu ni walewale waliokuwepo awamu iliyopita.
Nnachojiuliza sasa, Nnnnape anafanya haya yote sasa hivi kwa uzalendo au kwa vile hakunufaika na ufisadi?
Alishindwa kuabika kikwete angali hai sembuse hayatiLabda lengo lake ni fisadi kuu aliyekuwa kwenye kichaka cha unyonge ajulikane
Kwani shida nini yule msema kweli ni mpenzi wa Mungu akichunguzwa? Yeye si alikuwa msafi mpaka akataka mwenyewe kwenda kuongoza Malaika?Msumeno hukata ukienda mbele na nyuma, tunaomba wao wachunguzwe na yeye achunguzwe
Yupo mpango ndio anajua kila kitu msizunguke mfuateni mpangoKwani shida nini yule msema kweli ni mpenzi wa Mungu akichunguzwa? Yeye si alikuwa msafi mpaka akataka mwenyewe kwenda kuongoza Malaika?
Mkuu hakuna watu wa ajabu ajabu kama baadhi ya watanzania, hawana kizuri yaani mtu akiiba fedha ya umma utawasikia vijiweni wengine wakimsifu kuwa fulani ni mwanaume aisee amepewa nafasi hajafanya kosa na sasa hivi ni tajiri. Wengine utasikia oooh jamaa anajidai na mali za wizi alizokwapua kwenye mradi wetu wa maji au barabara vijijini. Sasa kimbembe jamaa huyo huyo akikamatwa ukimwambia njoo utoe ushahidi anakataa kata kata ila muite sasa kutoa ushahidi wa uongo yaani atakuja fasta.Kwahiyo kama kuna kigogo ana tuhuma za wizi tukae kimya kwakuwa hakuna hatua zitakazochukuliwa?
Huoni kama kitendo tu cha kufanya uchunguzi kitatufanya angalau kujua uadirifu wa viongozi tulionao ?
Inawezekana kweli Nape amesema hayo kwavile hakuwa na mahusiano mazuri na utawala uliopita, kwahiyo hilo limfunge mdomo hata akinusa harufu ya ufisadi ?
Hao waliopita lini waliwahi kusema wao ni wasafi na wasema kweli? Huyo aliyekuwa Rais wa wanyonge ndiyo alikuwa anasema yeye anachukia ufisadi na ni msema kweli. Sasa akichunguzwa kuna shida gani? Wanyonge mnatakiwa mjue ukweli kuhusu aliyekuwa Rais wenu ili mjue ni jinsi gani aliwapambania.Kuna kitu hawa wanasiasa lazima wakijue, kwanza hakuna mtanzania wakudanganywa kwa miaka hii, pili dunia imebadirika sana kiasi kwamba tunazo kumbukumbu zote na yote yaliyofanyika kabla ya Late John Joseph Pombe na yanayoendelea sasa.
Tusianze na lolote lile kati ya Richmond au Dowans either wanajua kila kitu or wanatafuta kumchafua mtu kwa kile alichofanya kuonekana was fashisti than those still living, hii ni nchi yetu sote siyo ya wazi na wanyang'anyi flani.
Huyo CAG tutamuomba arudi kuanzia nyuma wkt mmea ndiyo umeamishiwa eneo lingine ukiwa bado haujazoea aridhi mpya.