The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Si unaona wanavyopanic?
Hapo kaka ni zoezi la kukomoana tu, ningeona ni kitu cha maana sana chenye tija ningekua na uhakika endapo uchunguzi utagusa kila aliyehusika na hatua kali kuchukuliwa bila kuangalia mtu usoni, SIONI HILO LIKITOKEA.