Nape Nnauye: Anaachwaje kichaa mmoja hivi anasema ‘Mama hatukuelewi’?

Mh.Nape Nnauye yuko sahihi😍

Mama anaeleweka vyema na watanzania tulio wengi 👍

#Siempre JMT🙏
 
 
Nchi fake et nae huyu sasa hivi ni waziri Daah hovyo kbsa
 
Hawa sasa wajaribu kumsumbua huyo mtu ndio watajua nchi ipoje kwa sasa. Bichwa kubwa akili mavi Nida kumahwelu ndio ukaelewe wewe
 
Nape wewe ndo uliongoza kampeni ya kumchagua magufuli unalia nini. Wewe unatuchanganya
 
Nape amemharibia sana mama leo. Kwanini mawaziri wetu hawawezi kuwajibu wananchi bila kuwatukana au kukejeli? Yaani viongozi ndio wanaongoza kwa matusi kuliko wananchu. Yule jamaa amejieleza vya kutosha bila kumtusi mama wala kumkosea heshima lkn Nape yeye ameishia kumuita kichaa mmoja.
 
Huyu hapa na hawa hapa:
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Very silly boy!
Hata cha kumjibu sina kwa kweli! Stupid kabisa…
 
Hawa jamaa Mungu awasaidie...

Mbona JK alishawaambia, "Fikra haipigwi rungu", au hawakuelewa maana yake.

Yaani leo wanataka watufundishe namna ya kufikiri? Watu wakisema hawaelewi, wapeni uelewa sio kuwaita vichaa!
 



 

Attachments

  • VID-20220509-WA0066.mp4
    14.8 MB
Hawa jamaa Mungu awasaidie...

Mbona JK alishawaambia, "Fikra haipigwi rungu", au hawakuelewa maana yake.

Yaani leo wanataka watufundishe namna ya kufikiri? Watu wakisema hawaelewi, wapeni uelewa sio kuwaita vichaa!
Unaonesha fikra zako ni mfu.

Ni nini usichokielewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…