Nape Nnauye: Anaachwaje kichaa mmoja hivi anasema ‘Mama hatukuelewi’?

Halmashauri ya wilaya, mji mdogo, mji au manispaa na jiji hazina akaunti youtube, facebook pages au instagram pages hao maofisa habari updates za kazi za serikali wanawapaje wananchi wao au wapowapo tu
Kwa akili yako habari mpaka ziwe huko ulipopataja ndio waandishi wazipate? Hao watakuwa waandishi au copycats?

Mwandishi anatakiwa azitafute habari kwa kukutana na "reliable sources".
 
"Kama hawamwelewi si uwaeleweshe tu, sasa makasiriko yanini..."

Alisikika mlevi mmoja akibwata
Si waseme ni nini wasichokielewa. Tuwaeleweshe.

Sijamuona kuwa kakasirika naona kuwa anawashangaa.
 
mimi mojawapo simuelewi mama yako. pili vyombo vya habari havikufungwa na jpm ulivifunga wewe kwa kujipendekeza kwa jpm na kumpa ushauri kuwa mzifunge leo unamlaumu na nyinyi ndio mlijifanya kumpa maelezo na ushauri mzuri kumbe unamponza alikuwamini sababu ulikuwa ccm nafasi kubwa kumbe kichwani huna kitu nape nnauye
 

rostam azizi kula nchi kwa kishindo
 
Jamaa amemjibu Nape. Kwa hiyo ni Kichaa Mmoja 2: Nape 1.
Je, Nape ataweza comeback?
 
Kuna mtu ameanza kulewa kimpumu
Endelea kuramba vya kuramba mtoto wa muasisi oopos sorry ni wa muimba solo
 
Mama tuna mwelewa vizuri. Wasiomwelewa ni roho zao tu
 
kwa vile maslahi yake yanapatikana anataka kila mtu amwelewe? mimi mwenyewe simuelewi hata kidogo
 
Anaachwaje Mh mmoja ambaye kamba yake ni urefu wa kurushia tiara na end product ya huu urushaji tiara mahali pengine ni LOAD FEED FORCE /LFF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…