Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

Hawa ndio wale tunaopiga kelele kula siku kuwa wana ZERO ila wanabebwa.

Yaani Huyo jamaa akili zake ni chache kama za Bashite.

Ameshangaza Dunia.

 
mungu kaepusha kweli! wale wapitumwa na dogo zero
 
Nashauri kama kuna msanii wa bongo fleva anataka aachie ngoma yake kali kwelikweli, basi asubiri kwanza hii movie iishe ndio atoe.
ndio maana harmorapa ameamua kwenda sambamba na kasi ya hili tukio.
 
Endeleeni na talalila zenu sie tukipiga hatua.
 
Yule polisi kanzu ni mshamba wa bastola, ngoja Magufuli aione hiyo video kama hajamtumbua
 
Tusubiri mashtaka yake kwa kuzuia serikali kufanya majukumu yake... Hii ndio Tanzmania
 
Matumizi ya silaha za moto katika awamu hii hayabagui kabisa. Uwe CCM , uwe Clouds FM utalimwa risasi tu. Hii ndio awamu ya tano.

Wote tunashuhudia haya wanafanyiana wao kwa wao

Wana hamu ya kuzitumia silaha za moto
Wana hamu ya kupiga risasi wale wote wasiowataka
Wana hamu ya kuwapiga risasi marafiki zao
Wana hamu ya kushurutisha watu kwa mtutu wa bunduki
Wana hamu ya kuwapiga risasi wapinzani
Wana hamu ya kuwapiga risasi raia wasio na hatia

Wana hamu kwa sababu wamepewa jeuri ya kutumia risasi kuwapiga WANANCHI kwa kuwa hao watoa amri ndio WENYE NCHI

Nape siwezi kukupa pole wala kukuonea huruma hata chembe maana malezi mabaya ya mtoto wa kupewa lawama huwa ni mzazi. Na wewe Nape ni mzazi wa CCM haijalishi ujana wako wewe ni mzee tu umeshailea vya kutosha wewe ni mzazi wa CCM acha upigwe tu ndio ujue wenzako walikuwa wanaumia namna gani .
 
Yule police amefanya makosa sana na atafukuzwa kazi why amuonyeshe mtu bastola nini kitu alichofanya hapo NAPE??nadhani hatua za kinidhamu inabidi zichukuliwe kwa huyo kijana mara moja
 
Masikini Harmo rappa akawa kama Petro wa Biblia , bastola ilipotolewa na askari yule mjinga alikimbia, nasikia amekutwa Chalinze bado anachanja mbuga.
Jioni hii nilisikia East Africa Radio wakisema ameonekana Morogoro. Inaonekana huyu jamaa ni mkali wa Marathon.
 
Kwako unaona joto ya jiwe
Lakin hujui ina mana gani hilo tukio kwa nchi...
Ina maana kubwa sana.....nadhani iktokea raia wanauawa kwa silaha hakuna msaada labda aseme mkuu...otherwise nchi haina direction....no vision
 
Usishangae utakaposikia huyo polisi amepandishwa cheo.
 
Dah!

Mimi si mpenzi wa CCM na si shabiki wa Nape ila hicho nilichokiona kwenye hiyo video sijakifurahia.

Kwangu haki ni haki tu.

Ni nini hasa kilipelekea yote hayo?

Kuna anayejua humu anieleweshe zaidi?
Nafikiri umepata jibu la swali ulilouliza kutoka kwa wadau hapo juu.

Mie hoja yangu ni hii... Mbona leo umeweza kuhukumu kabla hata ujajua ni nini kilichopelekea yote haya? Ni ajabu sana leo eti hujapendezwa kuona hiyo bastola (tena kamoja tu) ikitolewa nje nje... wakati juzi hapa tuliona sote askari wa aina tofauti wasio na magwanda na wenye magwanda ya kijeshi wameshika silaa kubwa kubwa za kivita wakiongozwa na rc saa nne usiku wakiingia kwenye private premises, wewe mwenzetu ukatuambia kuwa huoni uvamizi wala shari yoyote ya lile tukio, kana kwamba kungeweza kukawa na explanation nyingine ya kawaida kabisa ya lile tukio...ambayo sijui ni ipi kwa mfano... Hueleweki ndugu.
 
nape angaamua hapo angemsukuma tu adondokee huko alafu tuone anafanya nini? anatoa bastola mchana kweupe mbele za watu hapa nchin tz? amefundishwa kweli huyo? hahaha. hivi wanafikiri hii nchi ni kampuni yao wanaweza kuifanya lolote?
Yani kaonekana fala tu bora hata angepiga juu basi tujue alikua anatawanya watu,

Yani katoa bastola halafu hajaitumia alafu nape anamuangalia kwa dharaaau huku kaweka mkono mifukoni yani bonge ya dharau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…